Nilichoandika, kimeandikwa.hommie unamsaliti mwana wa adamu kwa kumbusu?
Haya BibieWill think about it...🙂
Mekuwaje tena kui wangu?😀😀
Haki nyie!
Teh teh..Uwa napenda nikimuona msichana wa kilatino aliyetoboa akiwa anaongea..Ila kwa wanaume naona haijakaa poa aiseeHahahhaaaa, eti kama ana nini... uwii! 😀
Ok..Na ukipata mteja mwingine nishtue basi..Una 10%Haha, sawa bwana, asante kwa taarifa..
Teh teh..Uwa napenda nikimuona msichana wa kilatino aliyetoboa akiwa anaongea..Ila kwa wanaume naona haijakaa poa aisee
Ni USHETANI wa wazi wazi!!! na uwendawazimuView attachment 387083
-They're attractive and stylish for both men and women. (They add pleasure too...)
-The piercing don't hurt much if you do it in the midline. (just a little pinch)
-If you plan to remove the ring, the tongue will return to normal and will not show signs.
Aiseee!!Hii kwa watoto wakike iko poa..Ila kwa wanaume uwa naonaje sijui..Mtoto wa kiume anakuwa anaongea kama ana dushe mdomoni bana..Haipendezi