Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Ole wako!Haha, sawa bwana, asante kwa taarifa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ole wako!Haha, sawa bwana, asante kwa taarifa..
Mfyuuuuuu!!!Teh teh..Uwa napenda nikimuona msichana wa kilatino aliyetoboa akiwa anaongea..Ila kwa wanaume naona haijakaa poa aisee
Kuna dalili ya mtu kula alikopeleka mboga leo.
Ukimmotivate hivi haki ataianza hii kazi maana shuguli zake huyu anazijua mwenyewe!! Alikuwa anauza kufuli za kike biashara ikafa hata sikumuuliza, namuangalia tu.Hahaha, sawa ntaifanyia kazi hiyo 10%
Sikujua uko kwenye eneo la hii kazi pia, teh!
Yaani babu mgomvi huyu!!Asprin ni mzee wa creativity...nimecheka hiyo ya tunda alivyoiweka.
Ana fani moja tu, na yuko vizuri kweli. Hizi zingine ni dalili za kuvurugwa na uzee.Mumeo ana fani nyingi atoto...lol
NimekomaHii kwa watoto wakike iko poa..Ila kwa wanaume uwa naonaje sijui..Mtoto wa kiume anakuwa anaongea kama ana dushe mdomoni bana..Haipendezi
Nakuona tu unavyompa bichwa!! Mid-life crisis unaijua ww!! Yaani ninapata taabu acha tu.
Yaani ule mkomo wa mwendokasi.Nimekoma
Ukimmotivate hivi haki ataianza hii kazi maana shuguli zake huyu anazijua mwenyewe!! Alikuwa anauza kufuli za kike biashara ikafa hata sikumuuliza, namuangalia tu.
Sijui ndio kuzeeka vibaya hata sielewi.
Ukimmotivate hivi haki ataianza hii kazi maana shuguli zake huyu anazijua mwenyewe!! Alikuwa anauza kufuli za kike biashara ikafa hata sikumuuliza, namuangalia tu.
Sijui ndio kuzeeka vibaya hata sielewi.
Eti eeh!! Haya endelea tu kumpa bichwa.Tatizo liko wapi lakini, mradi analeta mboga jamani?
We unaona kabisaaa hapo mkate unaotafutwa ni wa siku!!Simpi bichwa jamani, najaribu kutetea moyo alionao, wa kutafuta mkate wa siku..
We unaona kabisaaa hapo mkate unaotafutwa ni wa siku!!
Sio kwasababu ni baba watoto!! Ila huu ni mzimu wangu naujua mwenyewe.Sasa kwani nini isiwe hivyo atoto, lakini naona tunapishana sababu mie namuona kama mfanyabiashara na mtafutaji mzuri, lakini wewe hukubaliani kwa sababu ni baba mtoto...lol
Which is understandable.
Hahah usinikumbushe mie bana. Last time nimechoma sindano nipo second yr. Yani kuona tu ile sindano kule juu ilivyo ndefu nyembamba, wacha nitoe jicho, nilisumbua khaaa. Dr alikuwa mchina mmama, akaniambia niache kujidekeza kama mtoto while ni mama mzima umri wa Kuwa na watoto na lafudhi yake sasa "iko kubwa wewe" teh. Hadi mama alikuja chumba cha sindano, niliona aibu. Mmh Kesho yake sikusumbua tena
Mie mara ya mwisho nikiwa form1, imebaki tu ile ya kidoleni nayo shughuli yake pevu!
Una uhakika tushatobolewa!!Yaani kutoboa sikio kwa kasindano kadogo mnaogopa, lakini mlipotobolewa na "bazooka" hamkuogopa. Tena mlijipeleka wenyewe!!!