Tongue Rings, Hot or Not

Tongue Rings, Hot or Not

Hahaha, sawa ntaifanyia kazi hiyo 10%

Sikujua uko kwenye eneo la hii kazi pia, teh!
Ukimmotivate hivi haki ataianza hii kazi maana shuguli zake huyu anazijua mwenyewe!! Alikuwa anauza kufuli za kike biashara ikafa hata sikumuuliza, namuangalia tu.

Sijui ndio kuzeeka vibaya hata sielewi.
 
Ukimmotivate hivi haki ataianza hii kazi maana shuguli zake huyu anazijua mwenyewe!! Alikuwa anauza kufuli za kike biashara ikafa hata sikumuuliza, namuangalia tu.

Sijui ndio kuzeeka vibaya hata sielewi.


😀😀😀...Asante kunianzishia siku vizuri mbona!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ukimmotivate hivi haki ataianza hii kazi maana shuguli zake huyu anazijua mwenyewe!! Alikuwa anauza kufuli za kike biashara ikafa hata sikumuuliza, namuangalia tu.

Sijui ndio kuzeeka vibaya hata sielewi.


Tatizo liko wapi lakini, mradi analeta mboga jamani?
 
We unaona kabisaaa hapo mkate unaotafutwa ni wa siku!!


Sasa kwani nini isiwe hivyo atoto, lakini naona tunapishana sababu mie namuona kama mfanyabiashara na mtafutaji mzuri, lakini wewe hukubaliani kwa sababu ni baba mtoto...lol
Which is understandable.
 
Sasa kwani nini isiwe hivyo atoto, lakini naona tunapishana sababu mie namuona kama mfanyabiashara na mtafutaji mzuri, lakini wewe hukubaliani kwa sababu ni baba mtoto...lol
Which is understandable.
Sio kwasababu ni baba watoto!! Ila huu ni mzimu wangu naujua mwenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Sio kwasababu ni baba watoto!! Ila huu ni mzimu wangu naujua mwenyewe.


Sawa mamie, wewe ndo unajua kumdhibiti..

Msamehe tu lakini, sidhani kama alikuwa na nia mbaya, kasema hao wadada wa Kilatino, anapenda kuwaangalia tu na pin zao..🙂
 
Hahah usinikumbushe mie bana. Last time nimechoma sindano nipo second yr. Yani kuona tu ile sindano kule juu ilivyo ndefu nyembamba, wacha nitoe jicho, nilisumbua khaaa. Dr alikuwa mchina mmama, akaniambia niache kujidekeza kama mtoto while ni mama mzima umri wa Kuwa na watoto na lafudhi yake sasa "iko kubwa wewe" teh. Hadi mama alikuja chumba cha sindano, niliona aibu. Mmh Kesho yake sikusumbua tena

Yaani kutoboa sikio kwa kasindano kadogo mnaogopa, lakini mlipotobolewa na "bazooka" hamkuogopa. Tena mlijipeleka wenyewe!!!
Mie mara ya mwisho nikiwa form1, imebaki tu ile ya kidoleni nayo shughuli yake pevu!
 
Back
Top Bottom