hapo sasa??? sijui kwanini natamanigi ningeweza kuwa kama maid hivi ila ndo hata siwezi,naonaga kama inaongeza mapenzi...l.o.l
Kaizer,hujanielewa....nafahamu kabisa mtoto ni zawadi kutoka kwa Mungu,ila naomba nikuhakikishie wapo wanaume pindi wanapoambiwa nina mtoto/watoto,uhusiano ndo umeikia mwisho,utasikia siwezi kulea mtoto wa mwanamme mwenzangu,siwezi kuoa mwanamke mwenye mtoto,familia yangu itanionaje sijui nini???? nilichomaanisha ni kuwa vitu ambavyo ni sihu kubwa kwa baadhi ya wanaume,unakutana na mtu ambaye hajali kabisa,na si tatizo kwake.....nisamehe kama nimeku-dissapoint!!!
Inawezekana kabisa kakupendea ukali wako na the way ur tough kwa sababu anajua mpaka ulipofika umekutana na mafunzo mengi,na sa nyingine wanaume wengine wanahitaji tough women na wanajijua so dont wory n one thing i believe the right person is the one that loves you just we way u a,unakumbuka ule wimbo wa dudu baya nakupenda 2 vile ulivyo nakupenda 2 ha ha ha,change wea necessary n wea he says so otherwise ur just perfect 4 hm,
inategemea kuna kosa gani,kuna baadhi ya makosa,kama mimi ni mkosaji,ni rahisi kuomba msamaha.kwenye suala la uonevu,sihisi hivyo kwani kila mtu huwa ana makosa yakekumbe wakali tupo,sasa nataka kujua,waga unajisikia vibaya,kuona kama vile unamuonea au lah?
binafsi hakuna mwanamke ambae ni too good foe me
but wanawake wanyonge siwapendi
napenda wale ambao wanafanya mambo kwa utashi wao
Baby its normal ne who you are but just be reasonably.......... sio unarauka rauka tu bila sababu.
Na hayo mawazo ya May be I dont deserve him/her kwa sababu ya your past history, mistakes sijui nini yafute life with him/her starts from the day you two met................... You deserve him/her ndo mana mko pamoja so handle him/her very carefully. Forget your past.........at least that is my principle.
Kama nimekuelewa, personally, sijakumbana na hili lakini naamini lipo. Wapo watu ambao wanaamini kabisa kuwa partners wao deserver better than what they are getting from them. Kuna sababu nyingi zinazoweza kusababisha hili kutokea. Umezitaja baadhi ya sababu. Pia nafikiri depression or lack of self esteem vinasababisha sana kutokea kwa hali hii. Wakati huo unakuta mwenzie hamind kabisa, but the other party still thinks their partner deserve someone better than him/her. Mara nyingi nafikiri hii inatokana na lack of self esteem inayosababishwa na sababu mbalimbali. Halafu hili tatizo halitokea tuu kwenye mahusiano ya kimapenzi. Linatatokea pia kwenye mahusiano ya kawaida na hata hata makazini ambapo unakuta mfanyakazi anaamini kuwa s/he is not good enough.
Wataalamu wanasema kuwa kitendo cha kuamini partner wako deserve better than what is getting from you ni moja ya symptoms za depression. Wanasema depression ni root cause ya mtu kufikiria that s/he is not good enough. Mara nyingi watu wenye depression wana tabia ya kufikiria kuwa they are not good enough to deserve something that they consider great. Lakini pia kuna watu ambao wako safi tuu lakini kwa sababu za insecurity or complex inferiority wanaona kuwa their partner deserve someone who is better than them.
Having said, wako watu ambao wako fit kabisa and still think that they are not good enough. If you feel like you're not good enough it is absolutely not true. Don't think your not good enough. Just be better. Pia kumbuka normally the opposites attract. Inawezekana labda watu wameishia kuwa mume na mke because they are too different people.
Habari zenu wana MMU?
Mwenzenu nina changamoto nahitaji kujua kama nanyi pia mna/mmekutana nalo katika maisha ya urafiki na uhusiano na je mlitatua vipi? ili na mimi niweze kujiona sawa!!!
Hivi imewahi kukutokea umekutana na mtu akakupenda na wewe umempenda ila unaona kama hustahili kuwa nae? yaani kwa jinsi alivyo,unajisikia vibaya kuwa nae? kutokana na tabia,historia,mwenendo,mistakes ambazo umewahi kufanya,yaani unaona,i don't deserve this guy/girl....he is just too good for me!!!
Mimi kweli nikipata mwanaume mpole na mnyenyekevu napata shida sana,manake unaweza chukia ukamjibu vibaya yeye yuko tu anakuangalia na baadaye anakuweka chini kwa upole anakueleza tatizo......waga kinaniuma sana,to the extent nafikiri maybe i deserve mtu mkali na mkorofi kidogo.....au mwingine,anakusamehe ukikosea na anakuelewa mpaka unaona,this is too good to be true...na wale ambao unamwambia makosa ambayo unafikiri yatamfanya akukimbie (kama kuwa na mtoto) lakini bado tu yeye anakupenda.....!!!
Nitafurahi kusikia mawazo yenu!
sio mapenzi
yanaitwa mahaba....
huwa inapendeza kama mwanamke ni mtu mzima hivi
yaani amemzidi mwanaume umri halafu awe anapokea order like that..
au mwanamke tajiri kuliko mumewe au mwenye
nguvu na mwili mkubwa kuliko mumewe....
inaongeza mahaba mno....
it cares the man's ego....
Bora tu umenielewa,manake mtima wangu ulishtuka mpenzi!! Leo nimepewa ushauri hadi naona mwisho wa hofu umefika....:dance::dance:Michelle, wala usijali my dear......I can understand now ur point of view BUT...
well well.....then am a bit different Michelle, issue ni kwamba hapo juu umeipresent kama mfano wa makosa...ambayo yanaweza kumscare away mwanaume, and am like....no, having a kid haiwezi kuwa kosa (literally) my dear, and am sure u know it.
Nikwambie kitu mpenzi, kama mtu kakupenda kiukweli, hiyo haiwezi kuwa issue ya kufanya mambo yaendelee. Sema jamii ndo imetukuza katika mazingira hayo ila ukijiweka nafasi ya mtoto, ambaye anaonekana ndiye anakufanya uonekana kama hufai, inasound kidogo sio nzuri,
The Boss and your ''ego''......kweli watu wana fantasy za ajabu....umenichekesha sana,sidhani kama kuna raha kwa mpokea order,nafikiri anayetoa order ndo mwenye raha....n this is selfish:dance::dance:
sio fantassy
nakuambia ukweli mtupu
kama umesikia wanawake wa mombasa basi ndo zao hizo
anakuwa na kidume umri wa mwanae na anakihonga na kupokea order juu
ndo maana mwanamke wa mombasa akimnyang'anya mtu mume
wengi huishia kulia tu lol
Lala nje....nivue nguo...zaa mtoto wa tano...NDIO MZEE.....sijui wanaume wanajisikiaje kuwa na wanawake kama hawa??? najua wapo wanaopenda na wasiopenda......:grouphug:
Mombasa kuna mengi....itabidi nikajifunze kutunza mume huko...l.o.l....ila nafikiri si kila mwanaume anapenda type ya hao wanawake wa Mombasa,it all depends na mwaname anachokipenda!!
Dearest,huyo the Boss haeleweki anapenda sampuli ipi....soma comment yake ya wanawake wa mombasa....em isome halafu tupange....l.o.lWengine wanafurahia maana wanawasukuma kama mikokoteni na hawalalamiki hata siku moja....kina boss hapo ndo naona hawataki sampuli hii.
Wengine wanafurahia maana wanawasukuma kama mikokoteni na hawalalamiki hata siku moja....kina boss hapo ndo naona hawataki sampuli hii.