Boss anadai anataka mwanamke ngangari na sio mlaini kama konokono ukimmwagia chumvi tu anayeyuka bila ubishi!!Dearest,huyo the Boss haeleweki anapenda sampuli ipi....soma comment yake ya wanawake wa mombasa....em isome halafu tupange....l.o.l
maisha yana leo na kesho..
unahitaji mwanamke ambae hata bahati mbaya
unaugua au umekufa au umefungwa
anaweza kuwa in charge wa familly na familly bizness
umeonaa eh??????
itabidi nijiifunze yote,manake siwezi jua yapi atayapenda mume wangu...yapi hatayapenda....lolest...GOD FORBID!!:dance::dance:
Michelle darling nimezungumzia kurauka kwa maana ya kuwa usiwe unamuwakia wakia tu bila sababu. Unajua ukianza kujiona hum'deserve' mpenzi wako unawezajikuta unaishi maisha artificial sana........utaanza kuogopa kumuudhi, kumwambia pale anapokosea n.k hali ambao haitakusaidia kukujengea strong relationship na badala yake unabomoa .............
Mabint bwana uwe mpole shida uwe mkali shida,mnataka nini?Mnanikumbusha niliwahi kuleta thread hapa ikieleza kuwa mabint hawajui wanachohitaji mkanizodoa,matokeo yake ukweli mnauweja hadharani wenyewe!
sasa hii itashusha EGO yake na kama unavyojua,ni priority kwake!!!
Habari zenu wana MMU?
Mwenzenu nina changamoto nahitaji kujua kama nanyi pia mna/mmekutana nalo katika maisha ya urafiki na uhusiano na je mlitatua vipi? ili na mimi niweze kujiona sawa!!!
Hivi imewahi kukutokea umekutana na mtu akakupenda na wewe umempenda ila unaona kama hustahili kuwa nae? yaani kwa jinsi alivyo,unajisikia vibaya kuwa nae? kutokana na tabia,historia,mwenendo,mistakes ambazo umewahi kufanya,yaani unaona,i don't deserve this guy/girl....he is just too good for me!!!
Mimi kweli nikipata mwanaume mpole na mnyenyekevu napata shida sana,manake unaweza chukia ukamjibu vibaya yeye yuko tu anakuangalia na baadaye anakuweka chini kwa upole anakueleza tatizo......waga kinaniuma sana,to the extent nafikiri maybe i deserve mtu mkali na mkorofi kidogo.....au mwingine,anakusamehe ukikosea na anakuelewa mpaka unaona,this is too good to be true...na wale ambao unamwambia makosa ambayo unafikiri yatamfanya akukimbie (kama kuwa na mtoto) lakini bado tu yeye anakupenda.....!!!
Nitafurahi kusikia mawazo yenu!
ukiniambia una mpango nae nitaanza kumfundisha....l.o.l
Nakubaliana na wewe,ila navyoona siku zinavyokwenda wanaume wanapungukiwa hili,nguvu na uwezo wa kuongoza na wanawake wanachukua nafasi!!:grouphug:
Yalijadiliwa sana hapa: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/141433-kileleni-max-orgasm.html
Your ego will not allow you to confess that...i knew it,i will ask her...!!
shukrani sana...hapo itabidi niwe na bunduki yangu au rungu,manake ipo siku utanimalizia mbali kwa ngumi zako!!