Too good for me???

Too good for me???

Ni kweli kabisa, Inapofikia mahusiano kati ya mwanamke mwenye mtoto na mwanaume asiye baba ya mtoto inataka maelewano ya hali ya juu toka mwanzo,Ukikutana na mtu asiyeonyesha kujali lazima uwe na maswali mengi, hii ni sawa kwa mtu yoyote, Manake lazima utake kujua muendelezo wa mahusiano kati yako na huyo mtu, pia kati ya mtoto na huyo mtu lakini pia feeling zake kwa mahusiano yako na Baba wa Mtoto,
Ninao Mfano: Shemeji yangu alikuwa amezaa kabla ya ndoa, alipopata mchumba, mchumba alitaka kuhakikishiwa kuwa hakutakuwa na uhusiano kati Mama na Baba halisi ya mtoto, na Baba halisi aliambiwa kuwa hana haki na mtoto, na mtoto akapewa Baba mpya kwa kubadilisha mpaka majina.
Asante kwa mfano mzuri,nafikiri walifanya la maana kuhakikishiana na kubadilisha majina....now,thats true love!!!!atleast huyo aliuliza details na kutaka kujua kama kutakuwa na muendelezo wa mahusiano kati yao....ila mtu asipouliza unamuona tu anapenda mtoto/watoto ndo inaleta kujiuliza is this real?
 
Usisahau kuniletea ugoro na mkongojo....ule wa kichina ulonletea umepinda.....babu ataanguka.

Babu ule mkongojo niliununua UK kwa carpenter kabisa wa kiingereza na nilisimamia ukichongwa....nahisi kuna mtu alikuibia akakubadilishia...
anything for you,nakuagizia mwingine wenye alarm,akigusa mtu mwingine anaungua mkono.....l.o.l....ugoro napita kariakoo nakuletea.....!!!
 
Michelle got few words for u; he isnt too good for u, u deserve him tht is why u r with him, it is not a coincidence kuwa naye. jiamini dear
 
Habari zenu wana MMU?

Mwenzenu nina changamoto nahitaji kujua kama nanyi pia mna/mmekutana nalo katika maisha ya urafiki na uhusiano na je mlitatua vipi? ili na mimi niweze kujiona sawa!!!

Hivi imewahi kukutokea umekutana na mtu akakupenda na wewe umempenda ila unaona kama hustahili kuwa nae? yaani kwa jinsi alivyo,unajisikia vibaya kuwa nae? kutokana na tabia,historia,mwenendo,mistakes ambazo umewahi kufanya,yaani unaona,i don't deserve this guy/girl....he is just too good for me!!!

Mimi kweli nikipata mwanaume mpole na mnyenyekevu napata shida sana,manake unaweza chukia ukamjibu vibaya yeye yuko tu anakuangalia na baadaye anakuweka chini kwa upole anakueleza tatizo......waga kinaniuma sana,to the extent nafikiri maybe i deserve mtu mkali na mkorofi kidogo.....au mwingine,anakusamehe ukikosea na anakuelewa mpaka unaona,this is too good to be true...na wale ambao unamwambia makosa ambayo unafikiri yatamfanya akukimbie (kama kuwa na mtoto) lakini bado tu yeye anakupenda.....!!!

Nitafurahi kusikia mawazo yenu!

ahh ktamboooooooo nilikuwa na wa dzain i..yaazn kosa lako lakin ahh mama nsamehe ,nimekosa mimi...znamtoka tu..
lakin uwa inapain sana minapenda sana mtu mkorof..nikimkosea aniambie lakin yule wa kumute ahh inaninyima burdan kwakweli..raha ya ugomvi usemwe kdg:dance:
 
ahh ktamboooooooo nilikuwa na wa dzain i..yaazn kosa lako lakin ahh mama nsamehe ,nimekosa mimi...znamtoka tu..
lakin uwa inapain sana minapenda sana mtu mkorof..nikimkosea aniambie lakin yule wa kumute ahh inaninyima burdan kwakweli..raha ya ugomvi usemwe kdg:dance:

Wanawake bwana,hebu nenda kasome uzi wa "Mabint mnahitaji nini?"halafu ujiulize na maelezo ya Michelle!Ule uzi ulitoka kabla ya huu!Maji hayasahau baridi!
 
Michlle, huyo ndo mwanaume wa ukweli tana mwenye akili ilokomaa na maadili mema anayo pia. sasa ndugu yangu wewe unapenda mwanaume anaeongea kama king'ora mpaka umstopishe kwa kumziba na chuchu ya plastiki ya yakunyonyea mtoto heee binti vipi wewe, na hata ukifanya kitu hana cha maana cha kukushauri wa nini huyo sasa? Mwanaume wa hivyo mi ndo nampenda yani unakosea mpaka unaona aibu mwenyewe.Nadhani ushaona snema ya prty woman sio, shikilia hiyo ngoma hakuna kuachia, ukimuacha mlete kwangu.
 
Wanawake huwa mnawapenda bad boys mtu akiwa perfect sana anaonekana hajui mapenzi!

Nikweli wanawake wanapenda wanaume wa fujofujo, but im telling you wanaume wapole bomba kishenzi kwanza hua wanamaanisha anachokifanya na wengi wao mapenzi wanajua sana tu, kuliko wale wanao kimbiliwa na kila mwanamke kwaajili ya masifa yao.
Hao ambao katikati ya gem mara sim imelia kaacha anaanza kupokea simu la nini sasa la hivyo si bora huyo mpole anaeheshimu, na kumaanisha anachokifanya.
 
Nikweli wanawake wanapenda wanaume wa fujofujo, but im telling you wanaume wapole bomba kishenzi kwanza hua wanamaanisha anachokifanya na wengi wao mapenzi wanajua sana tu, kuliko wale wanao kimbiliwa na kila mwanamke kwaajili ya masifa yao.
Hao ambao katikati ya gem mara sim imelia kaacha anaanza kupokea simu la nini sasa la hivyo si bora huyo mpole anaeheshimu, na kumaanisha anachokifanya.
Nashindwa kukubaliana na wewe, mara nyingi wapole huwa wanaficha makucha yao na wanakuwa na ajenda za siri chinichini akiibuka unaweza pata presha ndio waale wanaojiuliza ni huyu mpenzi wangu aliyekuwa mpole au sio. Mie napenda mwanaume muongeaji, huyu kwangu itakuwa rahisi sana kujua anapenda nini na anachukia nini, na kwa maelezo ya dada michelle inaonekana kabisa mwanaume anamuogopa, punguza ukali dada angu wanaume wa aina hii wakikuoa wakitoka nje ni ngumu sana kumwachisha na hawala yake sababu anakuwa anapata handling nzuri kwa upole na unyenyekevu si mnawajua wezi wanavyokuwa wajameni
 
Kwa uzoefu wangu mimi, ukihisi he is too good to be yours/true ujue kuna walakini hapo, wengi wanakuwa wanafiki na badae unakuja kujua ukweli wake inakuwa too late. embu soma hii kwanza dear, halafu uone kama kuna lolote litakalo kusaidia;

When a date acts uninterested in anything we have to say it's usually a clear indication they are not that into us. If the reverse occurs, they pay too much attention, latch on to every word we say, usually means there's a problem.

Overly attentive individuals are often attention starved. Whether it's been simple bad luck in prior relationships, or something more sinister such as childhood neglect, the overly attentive are usually very needy emotionally and attach themselves to you very quickly.


Fast attachment
Relationships need to develop and evolve over time. Finding yourself on a first, second or even third date with someone who keeps using the word 'we' or starts making plans for the two of you, is on a fast attachment cycle. Even if the plans are minor like expecting to go for coffee or a walk or expecting you to give up prior appointments and commitments within a short span of time, means you have a fast attacher, and a big potential problem on your hand.


These types of people often don't take no well for an answer. Desperation is never attractive, and the more you pull away, the harder they try to attach. Often these types seem so perfect in other respects, but do yourself a favor and run!


They understand you too well
We all want someone who understands us, but someone who appears to instantly connect and 'get us', is often no more than a chameleon. Desperate to be loved themselves, chameleon's mirror our own personalities while masking their own. The biggest mistake we can make is thinking they are instant soul mates, when usually we could in fact be anyone who fulfills their warped sense of who we should and could be for a relationship.


It's all about you
Even worse than the overly attentive date, is the date who reveals little or no information about themselves, but disguises it all as your-the-one-so-what-does-my-past-matter. Women are particularly vulnerable to this type of man, and mistakenly think that they must be too good to be true because they appreciate us so much so fast. Often referred to in psychological circles as "Pedestaling", these types of men don't want to reveal past relationship mistakes as they usually involve something major.


Anything or anyone that seems to good to be true typically is. No one is, or should try and be perfect. Encountering someone on a date who seems a little too perfect is usually a good sign that we should run hard and fast in the other direction!
nimekukubali sana BB upo juu sana unajua?
 
Nashindwa kukubaliana na wewe, mara nyingi wapole huwa wanaficha makucha yao na wanakuwa na ajenda za siri chinichini akiibuka unaweza pata presha ndio waale wanaojiuliza ni huyu mpenzi wangu aliyekuwa mpole au sio. Mie napenda mwanaume muongeaji, huyu kwangu itakuwa rahisi sana kujua anapenda nini na anachukia nini, na kwa maelezo ya dada michelle inaonekana kabisa mwanaume anamuogopa, punguza ukali dada angu wanaume wa aina hii wakikuoa wakitoka nje ni ngumu sana kumwachisha na hawala yake sababu anakuwa anapata handling nzuri kwa upole na unyenyekevu si mnawajua wezi wanavyokuwa wajameni

Sijaonge kwa ukali bwana labda kwa ushabiki tu, Mh kwakweli mi muongeaji sana ananiboa, unajua kuna mpole na kuna mpole mwenye maadi na hofu ya mungu. Huyo wa michelle anaonekana kabisa anamaadili na hofu ya mungu na pia anauelewa flani ndo maana hua anamsikiliza tu mwenzie. Ninacho amini kwa wanaume wote, ukiona kapunguza upendo ujue kunakitu kina endelea sehem, yani unaibiwa, na ukiona kazidisha upendo zaidi ya kawaida jubu lake ni hilo hilo uchunguze taratibu utajua anazidisha upendo sana kwako ili akupumbaze na aendelee kuku cheat, end of the day Dont truts a man.
 
ahh ktamboooooooo nilikuwa na wa dzain i..yaazn kosa lako lakin ahh mama nsamehe ,nimekosa mimi...znamtoka tu..
lakin uwa inapain sana minapenda sana mtu mkorof..nikimkosea aniambie lakin yule wa kumute ahh inaninyima burdan kwakweli..raha ya ugomvi usemwe kdg:dance:
Daaah! Nimechoka kabisa ngoja niende MARA nikapate kozi ya miezi mitatu.
 
Michlle, huyo ndo mwanaume wa ukweli tana mwenye akili ilokomaa na maadili mema anayo pia. sasa ndugu yangu wewe unapenda mwanaume anaeongea kama king'ora mpaka umstopishe kwa kumziba na chuchu ya plastiki ya yakunyonyea mtoto heee binti vipi wewe, na hata ukifanya kitu hana cha maana cha kukushauri wa nini huyo sasa? Mwanaume wa hivyo mi ndo nampenda yani unakosea mpaka unaona aibu mwenyewe.Nadhani ushaona snema ya prty woman sio, shikilia hiyo ngoma hakuna kuachia, ukimuacha mlete kwangu.

sawa Mamushka wangu,nitajitahidi kadri ya uwezo wangu,siku tu nikiona siwezi nakukabidhi,naamini hauko kama kwenye hiyo picha manake sitapenda kusikia ameumia,he is the opposite of you(hana mwili mkubwa)...l.o.l
 
Nashindwa kukubaliana na wewe, mara nyingi wapole huwa wanaficha makucha yao na wanakuwa na ajenda za siri chinichini akiibuka unaweza pata presha ndio waale wanaojiuliza ni huyu mpenzi wangu aliyekuwa mpole au sio. Mie napenda mwanaume muongeaji, huyu kwangu itakuwa rahisi sana kujua anapenda nini na anachukia nini, na kwa maelezo ya dada michelle inaonekana kabisa mwanaume anamuogopa, punguza ukali dada angu wanaume wa aina hii wakikuoa wakitoka nje ni ngumu sana kumwachisha na hawala yake sababu anakuwa anapata handling nzuri kwa upole na unyenyekevu si mnawajua wezi wanavyokuwa wajameni

nimekusoma dada Dinnah,nitajitahidi kadri ya uwezo wangu na Mungu anisaidie,si rahisi kubadili nilivyo pia!uwe na wikiendi njema!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
sawa Mamushka wangu,nitajitahidi kadri ya uwezo wangu,siku tu nikiona siwezi nakukabidhi,naamini hauko kama kwenye hiyo picha manake sitapenda kusikia ameumia,he is the opposite of you(hana mwili mkubwa)...l.o.l

Hahaaa usiogope hayo ni mazoezi tu, mzigo uko pale pale, najivunia kua mwanamke halisi.
 
nimekusoma dada Dinnah,nitajitahidi kadri ya uwezo wangu na Mungu anisaidie,si rahisi kubadili nilivyo pia!uwe na wikiendi njema!

...hujaamua tu.

Ukiweka nia, hakuna linaloshindikana.
Sote tuna mapungufu, hakuna mkamilifu.

Kuna udhaifu wewe pekee unaoutambua na,
kuna udhaifu (wako) watu wanautambua (huenda nawe unaujua)

Iwapo Una udhaifu ambao unaujua na watu wanaujua, Jitahidi ubadilike haraka!
 
wanawake wanapenda mtu mkorofi , ukiwa mpole unaonekana zoba na heshima inapungua .........
 
inatokea sana hiyo ndugu yangu. Moyo hua haudanganyi, nadhani fuata hisia zako at the same time unashirikisha akili kidogo. Kupenda/kupendwa shughuri.
 
Back
Top Bottom