Too late akina dada, kumnyima utamu anayehakikisha kukuoa kisa walikutumia wakakuacha

Wanakatalia nini sasa ilihali mpaka ikulu wameishagawa imekwisha akika inatoa chemichemi unaoaje mtu bila kutest rubbish
 
Kama ulishaamua ukamtolea huyo wa kwanza wewe ulishajimaliza kumnyima atakayefuata haisaidii wewe tayari uko uchi. Ila ukweli aliyeamua kuwa mmeo kabisa suala la mapenzi kwake si priority na baadhi ya makanisa hairuhusiwi hata kumbusu mkikutwa mnaloo!. Ila kwa kuwa nanyi wanawake mko kimbelembele lazima muonjwe kama tunavyoonja maparachichi hapa mbeya kwetu kabla hatujanunua.
 
Bikra ni heshima nimekukuta huna bikra na hata mtoto huna utanitisha nini wewe si shankupe tu.
 
Hahahahaaaaa waambie hao
 
Mimi manz akibana papuchi nampotezea....sometimes mamanz wengne washenz....anakubania papuch lakn back stage kuna jemba anamnyoa....
 
Tumbua kumuokoa huyo rafiki nawe utabalikiwa
Mkuu...uungwana ni vitendo.
Kwakuwa jamaa kaonesha kuelewa somo tokea jana kaacha kumchafua bint sio huku tu,hadi ktk maisha ya kawaida.

Laiti kama angejidai kichwa ngumu asingekaa anisahau maishani mwake,nilikuwa na hasira nae sana.
Anamtesa bint wa watu kiasi mimi nimegeuka leso yake ya kufutia machozi,kila wakati anamlizaliza mwenzie.

Katika familia ya bint nina ushawishi mkubwa,ningeamua kuonesha uchafu wake huu wa huku angepata aibu kubwa na huu ungekuwa mwisho wa mapenzi yao ambayo ni mateso kwa bint.

Nimewaomba wampe nafasi ya mwisho,akirudia ukatili na unyayasaji wake ndio utakuwa mwisho.
 
Aise pole kwa huyo binti...

Aendelee na msimamo wake.

Huyu jamaa kaniudhi hapo anapojifanya eti anataka kumtolea nuksi ya kutoolewa.

Utadhani yeye ndo mtoa gundu kwamba asipoolewa nae ndo mwisho wa huyo dada. Ana maneno machafu sana huyu
Mm imebidi ninyamaze coz ningejibu ningekula ban ya mwaka aisee naomba Mungu anifundishe kunyamaza si kwa kutuzalilisha huko jamani utafikikiri kwao hakuna wanawake aisee ngoja ninyamaze
 
QUOTE="Nifah, post: 20073339, member: 207619"]Nasubiri response yake,akileta fyokofyoko namtumbua...mambo yatakuwa hadharani sio huku tu,hadi kwao na akina bint.
Kwa jinsi alivyotulia na kusepa ni wazi ameshagundua upuuzi wake na ujuha wake.... Nahisi genye zimemtuma vibaya na kufikiri
hapa ni jukwaa la moyo wake kusemea yaliyomsibu katika lugha isiyo ya staha... Msetiri na wasetiri pia na naomba kama unaweza kuongea nae nje ya hapa basi mpe semina ya how a man should behave on his woman... Umri wake sio kwamba mambo mengi anayajua hapana.... Pia inawezekana mdomo wake na akili yake imemponza sehemu nyingi.... Please just help this man kwani wakati mwingine jiepushe na utenganisho... Thank you....[/QUOTE]
Tamatheo umenena vema sana
 
Kumbe kuna watu bado wananyimwa?
Tafuta wajuzi wa mambo wakupe darasa mkuu
Siku hizi tunaunga mahusiano ya HALICHACHI, muda wowote ukitaka unajipundua tu.

Cha muhimu tafuta pesa kwanza
 
Maisha ni yao lakini haya malalamiko yao ya kutoolewa wanataka yatafutiwe suluhisho na wote ...sasa kila kitu kinaanzia kwenye msingi....km hana misingi bora ya maisha bas hiyo ndoa aendelee kuiskia kwa wengine
Subiri ajira za walimu zitoke wataolewa tuuu, sasa ivi vijana wanatafuta pesa ya kumiliki simu na bando tuuu na pesa ya kubeti
 
anakubania wewe 2 wenzako wanakula kama kawa.. ushajiuliza anazimalizaje nyege zake? acha uboya.
 

Hao wanaume mnaowabaniaga papuchi mnakuwa hamjawapenda/ au atleast kuwatamani..kwan unadhan hatuwafaham bana Paprika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…