Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumbua kumuokoa huyo rafiki nawe utabalikiwaNasubiri response yake,akileta fyokofyoko namtumbua...mambo yatakuwa hadharani sio huku tu,hadi kwao na akina bint.
Hahahahaaaaa waambie haoHii habari ya kumnyima papuchi mtu ambaye amekuhakikishia kukuoa, eti tu kwasababu wengi waliwahi kutumia mbinu hiyo kisha wakamega na kusepa, itawakimbiza wachumba wengi. Mtaishia kuvaa sare kwenye harusi za wenzenu.
As long as ulianza kwa kugawa hovyo, basi mpe hata huyu ambaye kaja sasa. Huwenda ana nia njema ya kukuondolea nuksi ya kuendelea kuwa jamvi la wageni. Achana na mtindo wa kuanza kutii maelekezo ya wazazi at your late 20s, kwasababu tu unataka kuolewa. It's too late. Nani atarudi kwako tena na uzee wako huo? Ndiyo. At your late 20s, wewe ni mzee!
Wakati wewe na uzee wako unabania mtoto wa miaka 19 anagawa bila hiana, kwa kihepe (chips) tu.
Shauri zenu
WamewaamkiaKumekucha Leo mbona
Haswaaaaanasisitiza kwamba wajitunze. Wabakie na bikra zao. Lkn siyo amegawa mpk masikioni halafu ndiyo anastuka
Hahahaa! Tena wale nyenyere waitwa MajiMoto.....Bora kiliwe na nyenyere
Mkuu...uungwana ni vitendo.Tumbua kumuokoa huyo rafiki nawe utabalikiwa
Mm imebidi ninyamaze coz ningejibu ningekula ban ya mwaka aisee naomba Mungu anifundishe kunyamaza si kwa kutuzalilisha huko jamani utafikikiri kwao hakuna wanawake aisee ngoja ninyamazeAise pole kwa huyo binti...
Aendelee na msimamo wake.
Huyu jamaa kaniudhi hapo anapojifanya eti anataka kumtolea nuksi ya kutoolewa.
Utadhani yeye ndo mtoa gundu kwamba asipoolewa nae ndo mwisho wa huyo dada. Ana maneno machafu sana huyu
Kwa jinsi alivyotulia na kusepa ni wazi ameshagundua upuuzi wake na ujuha wake.... Nahisi genye zimemtuma vibaya na kufikiriQUOTE="Nifah, post: 20073339, member: 207619"]Nasubiri response yake,akileta fyokofyoko namtumbua...mambo yatakuwa hadharani sio huku tu,hadi kwao na akina bint.
Subiri ajira za walimu zitoke wataolewa tuuu, sasa ivi vijana wanatafuta pesa ya kumiliki simu na bando tuuu na pesa ya kubetiMaisha ni yao lakini haya malalamiko yao ya kutoolewa wanataka yatafutiwe suluhisho na wote ...sasa kila kitu kinaanzia kwenye msingi....km hana misingi bora ya maisha bas hiyo ndoa aendelee kuiskia kwa wengine
Ndo nenda kwa huyo mtoto wa miaka 19 sasa.
Kugawa au kutoa ni maamuzi ya mtu.
Kama kunyimwa papuchi kunakufanya usinioe basi tambaa mbele... Hukua na nia ya kuoa.
Wapo wanaosimama na msimamo huo na wanaolewa. Ko kama unatafuta pa kuonja wapo wanaoruhusu kuonja pia.
Kuna raha yake mkutene kimwili mara ya kwanza baada ya ndoa!!! Haijalishi kama ni bikra au la! Ni msimamo tu.
Mwanaume usikubali kuchomeshwa mahindi