Heart
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 2,673
- 1,710
Wapendwa wana JF..katika kuchagua mwenzi kila mtu ana criterias zake.Lakini inatakiwa ikumbukwe kwamba si lazima utakutana na ambae yupo totally perfect..hakuna mwanadamu kamili..ila baadhi yetu tumekuwa too selective jamani nikianza na sisi akina dada utamsikia mmoja " Loh! ule mpua ntaupeleka wapi? mwanangu si atatisha."..
mwingine "Kha! ufupi ule jaamani,kwakweli nehi!" au utasikia "mmh,hapana mtu mwenyewe ananilazimiishaa wakati nimemwambia mie bado bado kwanza" nakadhalika.....akina kaka sasa utasikia "demu hana hata makeke,analiaaa" mwingine utasikia " bado bado,ndo naendelea kuwachambua nimebakiwa na top 5 sasa" nakadhalika..
My point is unapochagua sana napo,mwisho unachagua vibovu... Ni kweli kila mtu ana criterias zake lakini tukisema tutafute mtu perfect mmmmh! mtihani.... mwisho wadada tunakuwa hatuolewi na kuishia kuwa manungayembe wezi wa waume za watu..na wakaka kuishia kuwa gusa unase kila shimo kungia... ni hayo tu..
Jumatano njema wana JF!!
mwingine "Kha! ufupi ule jaamani,kwakweli nehi!" au utasikia "mmh,hapana mtu mwenyewe ananilazimiishaa wakati nimemwambia mie bado bado kwanza" nakadhalika.....akina kaka sasa utasikia "demu hana hata makeke,analiaaa" mwingine utasikia " bado bado,ndo naendelea kuwachambua nimebakiwa na top 5 sasa" nakadhalika..
My point is unapochagua sana napo,mwisho unachagua vibovu... Ni kweli kila mtu ana criterias zake lakini tukisema tutafute mtu perfect mmmmh! mtihani.... mwisho wadada tunakuwa hatuolewi na kuishia kuwa manungayembe wezi wa waume za watu..na wakaka kuishia kuwa gusa unase kila shimo kungia... ni hayo tu..
Jumatano njema wana JF!!