Arnold mrass cannambo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 4,067
- 2,640
Waswahili ndio benchmark ya maisha yako?hongera zetu mazeee tuko vizuriii....waswahili bado wanapiga ramlii!!
Waswahili ni watu wa radio hawajui hii mambo ya internet.Hongera zetu mazee tuko vizuriii! Waswahili bado wanapiga ramli!
Sasa uko na status ya middle income mwaka wa 7 na huna modern bus stand hata moja.Hii ndio maana ya middle income, usitajwe tu kwa jina (huku ukiteseka kwa umaskini) ila onyesha kwa vitendo pia.
Stendi ya basi sio kipau mbele cha maendeleo, yaani we jamaa, nilikuwa nakuheshimu, lakini leo ndio nimegundua kumbe ni Bonge la mshamba sijawahi pata kuona tangu dunia hii iumbwe.Sasa uko na atatus ya middle income mwaka wa 7 na huna modern bus stand hata moja.
kwamba nini unasemaa[emoji23][emoji23][emoji23].Stendi ya basi sio kipau mbele cha maendeleo, yaani we jamaa, nilikuwa nakuheshimu, lakini leo ndio nimegundua kumbe ni Bonge la mshamba sijawahi pata kuona tangu dunia hii iumbwe
Nipe tofauti ya uchumu na GDP[emoji23][emoji23]kwamba nini unasemaa[emoji23][emoji23][emoji23].
inawezakuwa si kipaumbele ila ikawa ishara ya maendeleo,hapa ndipo tunatofautisha uchumi na GDP[emoji23][emoji23].
mko na GDP wengine wako na uchumi.
GDP ni pato la taifa kwa mwaka. Uchumi thamani ya biashara ya nchi husika.Nipe tofauti ya uchumu na GDP[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]hata shule unatakiwa kusoma ili ufaulu sio umzidi fulani,kama na wao wataendelea kufanya vyema tatizo liko wapi!!!.Tz will never rank beyond Senegal, Cameroon and the likes.
Option nyingine ya Travel Ni gani ispokuwa mabasi?kwamba nini unasemaa[emoji23][emoji23][emoji23].
inawezakuwa si kipaumbele ila ikawa ishara ya maendeleo,hapa ndipo tunatofautisha uchumi na GDP[emoji23][emoji23].
mko na GDP wengine wako na uchumi.
Vimejumuishwa kwa data ya TzMimi nina vifaa vitatu viko na internet. Naomba kujua wanahesabika watu wangapi?
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
Kweli bro hata kwa hili la barabara hamwezi kuwa ranked na wao kabisa...wamewapiku kwa hiliTz will never rank beyond Senegal, Cameroon and the likes.
Kwamba mna private car, planes, boats, trains za kutosha kiasi cha buses kukosa umuhimu![emoji23][emoji23][emoji23],wewe huwa unafikiri kwa kutumia nini jamaa yangu?Option nyingine ya Travel Ni gani ispokuwa mabasi?
Hapa Kenya Kuna Railway, Air and road transport na usisahau Bongo watu sio wengi wako na magari ya kibinafsi. Bus stands Ni teknologia ya 80s bana.
Vimejumuishwa kwa data ya Tz
Kweli bro hata kwa hili la barabara hamwezi kuwa ranked na wao kabisa, wamewapiku kwa hili
Sijaicheki hiyo video ila swap Cameroon/Senegal for Kenya kwenye post yangu ya awali.Option nyingine ya Travel ni gani ispokuwa mabasi?
Hapa Kenya Kuna Railway, Air and road transport na usisahau Bongo watu sio wengi wako na magari ya kibinafsi. Bus stands Ni teknologia ya 80s bana.
Vimejumuishwa kwa data ya Tz
Kweli bro hata kwa hili la barabara hamwezi kuwa ranked na wao kabisa, wamewapiku kwa hili