Top 10 African countries with the most internet users

Kutokana na population yetu hao watu kidogo mno. Ilibidi tuwe juu zaidi
Umeona tz ilitoka kabisa kwenye row,ghafla imeibuka na kupanda kwa kasi sana miaka hiyo 6 hapo!!!![emoji23][emoji23][emoji23]

Bado kuna maajabu mengi sana watu wanatakiwa wayaone katika kipindi cha miaka hii 10-20.
 
Una akili kweli? 90% ya hizo views ni kutoka Kenya
 
Una akili kweli? 90% ya hizo views ni kutoka Kenya
Unaongea nin wewe hivi unashirikiana na ubongo wako kweli wewe? Au unajiamlia tu kuongea. Sasa kama 90% zinatoka kenya mbona wqsanii wenu hawapati hao followers au viewers ambao wapo Kenya, na vp kuhusu wasanii ambao sio wakubwa wanakuwa na funs wengi uki compare na huko Kunya na hao wanakuwa hawajajulkana nje ya Tz

Alafu nenda katafute interview ya saut soul walio ifanya wasafi tv ndo uje tujibizane.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]akikujibu niite.
 
1.Nikitaka kwenda Coast/pwani natumia SGR.
2.Nikitaka kwenda Kisumu natumia MGR.
3.Nikitaka kwenda Nyeri natumia MGR.
4.Within Nairobi natumia Uber.
5.Nikitaka kufika Turkana ndege ksh6000 imenitosha round trip tena.
Mabasi Ni ya kuunga unga tu hapa na pale soon bus trips zitakuwa maybe za kutalii. Ndio maana nasema Tz iko in the 80s 😁

Ati 2018 kulikuwa na mgomo hujui kuwa Dar Kila siku Ni Kama kuna mgomo
 
jinsi unajitahidi kuikataa ngori hii
 
Acha uongo wewe ustufanye majuha humu ndani. Ati Kenya mabasi sio muhimu! Unafikiri Kenya hatujui?
 
GDP ni pato la taifa kwa mwaka.

Uchumi thamani ya biashara ya nchi husika.

ukitaka kujua nchi yenye GDP ni kenya,na nchi zenye uchumi ni kama tz.
Khaa!!![emoji23][emoji23][emoji23]
Tena hyo GDP unajua maana yake kweli[emoji23][emoji23]
Jamani, jomba hemu niache sitaki kupoteza mda
 
Uletewe data[emoji23][emoji23][emoji23]
 
leta data zikionyesha kwamba wakazi wa nairobi hawatumii buses bali private cars.
Mbna unakwepa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sema sai nikuletee data kuhusu hayo magari pande zote mbili ujisomee tu..

Au ndio unazuga tu..vitu vngine ukikubali havina madhara yyte na afya yako
 
Hela ya unga inakupiga tobo ndio ukapande uber?[emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…