Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
- Thread starter
-
- #21
Assume that it is 2100 and Ronaldo has retired...people of that generation won't see Cristiano on the pitch but they'll just check on records..are you expecting that the same statement you've just say will be discussed by the people during that time???- Maradonna ni number 1.
- Alafu unautukana kabisa mchezo wa Football kumuingiza Ronaldo kwenye List kama hiyo mbele ya (Romario, Ronaldo De lima, Zidani, Rui Costa, Futre, Laudrap, Platini, Zico, Ronaldinho, Kaka)
lete yako....List mboovu kabisa
Hakuna kipya kwenye football mkuu yote haya yalishafanyika zamani sanaHuyo pelle sina imani nae,,,angecheza kipindi hiki cha wakorofi kama kina ramos nadhan asingemfikia hata adebayor
Mimi naendelea kukaataa sifa anazopewa pelle mkuu,hata video clips za pele bado sijawahi kuzielewa,kawaida sanaHakuna kipya kwenye football mkuu yote haya yalishafanyika zamani sana
Siwezi kumtetea sana maana sijawahi kumfatilia kwa undani zaidiMimi naendelea kukaataa sifa anazopewa pelle mkuu,hata video clips za pele bado sijawahi kuzielewa,kawaida sana
Maradonna ni hatari zaidi
wacha kufananisha wachezaji wa zamani na wa sasa..huyo Ramos badala aumie Pele angeumia yyHuyo pelle sina imani nae,,,angecheza kipindi hiki cha wakorofi kama kina ramos nadhan asingemfikia hata adebayor
wanaangalia na idadi ya magoli..Mimi naendelea kukaataa sifa anazopewa pelle mkuu,hata video clips za pele bado sijawahi kuzielewa,kawaida sana
Maradonna ni hatari zaidi
Assume that it is 2100 and Ronaldo has retired...people of that generation won't see Cristiano on the pitch but they'll just check on records..are you expecting that the same statement you've just say will be discussed by the people during that time???
Mimi naendelea kukaataa sifa anazopewa pelle mkuu,hata video clips za pele bado sijawahi kuzielewa,kawaida sana
Maradonna ni hatari zaidi
Ndo ipo hivyo huwez badilisha labda ulete yako..Mkuu unatumia vigezo gani kwenye list yako?
gaucho??? unaangalia chenga..Pele
Maradona
Messi
Ronaldinho
.
.
.
.
Ungeanza hiv usingekua na upinzan mwng na ungeonekana una busara kwa kias chake
Mkuu Pele mtu mwingine kabsa..
- Messi
- Diego Maradona
- ...
- ...
hahahahacharity starts at home !!!!,wapi Omari bin Jabir Mahadhi,Athumani Mambosasa,Omary Zimbwe,L.Tenga,J.Mtagwa,M.Richard,A.Ally,T.Ally ETC ETC ETC ......
Mkuu una simu nadhani sina haja ya kuweka mambo mengi hapa fungua Google ucheki hao watu...Kwaiyo records na statistic ndio uwezo wa mchezaji? Mbona umetuekea Cruyff na Beckenbauer hapo labda ungelitupa record zao nao pia.
Records nyingi ambazo Ronaldo na Messi wamezivunja zilikua zikishikiliwa na (Muller, Raul, Zara) labda ungetwambia nani kati ya hao amewahi kuhusisha na uchezaji bora achilia wa all time alau wa mda wake tu aliokua akicheza.
Mpira umegeuzwa kuwa mchezo wa ajabu kabisa. score more and you become the best.
Maradanno na hakua akisifika kwa kufunga, alikua akisifika kwa kucheza mpira na ukubwa wa skills zake alizokua nazo.
Ukizungumzia kama football inaamuliwa kwa records na statistics hata Henry basi ni zaidi ya Zidane.
Anayoweza kuyafanya Iniesta ndani ya uwanja Ronaldo ataishia kuyatumbulia macho tu.
Una hakika gaucho hajawahi kutwaa ballon d or??Gaucho hakuwahi kutwaa baloon d' or ila weah ametwa...thats a difference,