Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
- Thread starter
-
- #81
Alipowekwa ndipo anastahili kwan waliomweka hapo ndo wameona anafaa kuwa hapo.Puskas alistahili kuwa number 2 hapo sio huyo aliezaliwa kipindi cha red card,penalty na substitution hamjamtendea haki
Alafu huyo ronaldo hakustahili hata top 10..... Hivi kweli ronaldo anamzidi zico,didi,lato,telmo zarra au garrincha??? Duh hatupo serious kabxa
List hiyo haiwezi kukamilika bila Dinho kuwepo aisee.Nasikitika sana,,tena sana kukosekana kwa Ronaldinho,,
Tena hao uliowaeka wote watashangaa umemuacha mungu wao mpira.
mpira sio shoo game nyie... nyie ndo mnashangilia vyenga...kisa unaangalia viclip vyake u tube unaanza kujaji...fuatilia kwanza ndugu usikurupuke..List hiyo haiwezi kukamilika bila Dinho kuwepo aisee.
Hamna kitu kumlinganisha na Zico au garrincha ni vizuri hao waliokwapua hiyo listi wapitie takwimu za nyuma waache mambo ya kupigisha watu kura ndio matokeo yake wanaongozwa na ushabiki......Alipowekwa ndipo anastahili kwan waliomweka hapo ndo wameona anafaa kuwa hapo.
Mnamclassify Ronaldo kwa kiwango chake cha sasa...mchambue toka anaanza hadi sasa...mpeni heshima yake...
hakukuwa na offsideNan kasema hakukuwa na offside??
Inaonyesha ulianza kushabikia mpira mwaka 2015!!Gaucho hakuwahi kutwaa baloon d' or ila weah ametwa...thats a difference,
Mwondoe messi umuweke cristiano ronaldo!!Mtoe Ronaldo hapo muweke Platin.
Naam ndo wamefanya hivyo....mpaka uwekwe hapo ina maana wamechambua rekodi zako na kuona ni one of the best...hakuna aliyependelewa hapo..huyo si mtu kakurupuka kaweka bali ni watu wenye upeo na hayo mambo..Hamna kitu kumlinganisha na Zico au garrincha ni vizuri hao waliokwapua hiyo listi wapitie takwimu za nyuma waache mambo ya kupigisha watu kura ndio matokeo yake wanaongozwa na ushabiki......
kwan Cristiano hayupo...???Mwondoe messi umuweke cristiano ronaldo!!
Tuthibitishie kauli yako...hakukuwa na offside
Hapana wenye upeo walishakaa kamati wakatengeneza list ya wachezaji bora wa all time na pele alikuwa wa kwanza hyo ilikuwa mwala 1999 toka hapo hiyo kamati haijawahi kukaa tena so hawa wengine ni kma shafiih dauda tu au kumwembe unless ungetuwekea source ili tukajiridhishe walitumia vigezo gani kufikia hapo otherwise ni ushabiki tuNaam ndo wamefanya hivyo....mpaka uwekwe hapo ina maana wamechambua rekodi zako na kuona ni one of the best...hakuna aliyependelewa hapo..huyo si mtu kakurupuka kaweka bali ni watu wenye upeo na hayo mambo..
Ujue roho ishaanza kuniuma mnavyotafutana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]we nitafute tuu
Degea hajafika hata robo ya ubora wa IkerThe Top ten of footballers of all time
1.Edson De Nascimento (Pele)
2.Diego A.Maradona
3.Leonel Messi
4Cristiano Ronaldo
5.Alfredo Di Stefano
6.Gerd Mueller
7.Eusebio
8.Ronaldinho
9.Zinedine Zidane
10.David Degea
Sijawah fuata updates za mchambuzi wa kibongo mm,na wala sitafanyaga hivyo....hata nikileta source vilevile tu mtabaki na misimamo yenu...kubali,goma yote sawa tu..Hapana wenye upeo walishakaa kamati wakatengeneza list ya wachezaji bora wa all time na pele alikuwa wa kwanza hyo ilikuwa mwala 1999 toka hapo hiyo kamati haijawahi kukaa tena so hawa wengine ni kma shafiih dauda tu au kumwembe unless ungetuwekea source ili tukajiridhishe walitumia vigezo gani kufikia hapo otherwise ni ushabiki tu
Kweli christiano anamzidi zico..... Duh ngoja nikalale tu
Mpira uliokuwa unachezwa na wavaa chupi wa enzi hizo ni hovyo kabisaMbona husemi hakukuwa na red card hivyo rafu zilikuwa kibao,hausemi kulikuwa hakuna penalty baada ya dakika 120?? Unasahau hakukuwa na substitution so akiumia mmoja mnacheza 10 tu!!!
Kwa vigezo hivo huyo messi na ronaldo hawastahili kuwemo humo
Kwa statistics gaucho ni mchumba hadi kwa neymar jrmpira sio shoo game nyie... nyie ndo mnashangilia vyenga...kisa unaangalia viclip vyake u tube unaanza kujaji...fuatilia kwanza ndugu usikurupuke..
Wa morroco naona mmekuja kutetea ushogaMwondoe messi umuweke cristiano ronaldo!!
Mpira uliokuwa unachezwa na wavaa chupi wa enzi hizo ni hovyo kabisa
kuna mtu atabishaKwa statistics gaucho ni mchumba hadi kwa neymar jr