Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Ndg,Ernest S.Chawewe
S inasemekana ni Shangweliemo,tulikuwa naye Dindimo sec 2008-2010
 
Jongo Kiparamoto niliwahi soma nae Artnzu education center miaka ya nyuma kule Mbeya.
 
kazakuku kumamoto..huyu jamaa alikuwa project manager konoike const ltd.
 
PANYUMA MBAMBA niliwahi soma shule moja na huyu binti, sijui yuko wapi. Siku wanafunzi waliposikia jina lake walicheka sana assembly.
 

Kiongozi 34 KJ iko Dar bwana sio Mbeya, Iko dar pale Lugalo
 
kumpuni kapaya (miss kwa wakati huo sasa hivi sijui ana status ipi)
 
Maregesi gerald mroba kanakanshungu mweru,mkami chacha matiku marwa,lugalo primary 2001
 
Nakumbuka world cup 2002, mtangazaji alisema jina la jamaa, " mboo mpenza ndani ya uwanja wa kumamoto japenga "
 
Moses Mchwampaka-Forodhani Sec 1997
 
John Kombaha wa Makongo High School French Dep, baada ya kuona kuna Komba wengi akaongeza ha mwisho ikawa Kombaha akaona haitoshi akaongeza ha ikawa Kombahaha.
 
GWATAKO TAGO Ass. Lect. SAUT MWANZA Accounts Dept.
 
GWATAKO TAGO Ass. Lect. SAUT MWANZA Accounts Dept.

hili jina siku nalipoti f.5 musoma tech nikalisikia headmaster anasema huyu jamaa hatari sana kuliko ata njaa,nimekumbuka mbali sana
 
CHIYENDEKA KAITIRA. Veta ulyankulu tabora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…