Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

hili jina siku nalipoti f.5 musoma tech nikalisikia headmaster anasema huyu jamaa hatari sana kuliko ata njaa,nimekumbuka mbali sana

Ha ha ha ha ha acheni kuzusha bhana, afu c fresh kwenye mitandao ya kijamii wandugu.
 
Kandole Makanga - nilihitimu nae primary school Minazi Mirefu 1994-2000
 
mwamkulusungu lyamkulungi ipyana hemahema-mwalimu wa hesabu jamhuri sec dodoma miaka ya 2004-2007
 
Dunia Ulimwengu- huyu jamaa nilikutana nae pale Utegi wilayani Rorya
 
Mnyeti- huyu kijana nilimkuta pale Tulawaka
 
Kaunda mwakitope, tukuyu star
ikupilika nkoba,
madeni kipande, dg tpa
kaingilila maufi
 
Nimesoma na jamaa wafuatao: Bagambilaine Batesaki, Anwani Salamu, Manyege Manyeto, Siogopi Amri, Alimosa Mwakatapanya, Asangalwisye Andendekisye, Majaba Kilaba na wengine kibao. Haya ndo majina ya ukweli siyo kutukuza majina ya kigeni.
 
Nyangaduke Sitemeka Kumbelengalonge Mpindamila hilo no jina la marehem babu yangu
 
John Mwakangale Mutughumonga! -
Manda Secondary 2002
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…