Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Mtoto wa Kishua Mwanzo nilidhani unatupelekapeleka kwa hayo majina ila nilipofika la dada yetu Tusekile Kibonde nikaamini hayo mengine ni ya kweli.
 
Last edited by a moderator:
Rugaimukamu Galwekengo,
Igambile Ogambaki Not Reachable
 
Afadhali lazima, Danken kapondanya, Rungwe sec. School 2002-2005

Nape Nnauye
Pandu Ameir Kificho - Spika BLW ZNZ
Kamal Basha Pandu _ Naibu Spika BLW ZNZ
Ame Mati Wadi - Mwakilishi jimbo la matemwe znz
Achilana Mtingele - Dodoma Sec 1997 - 2000
Deusdedit Kabundugulu - Dodoma Sec 1996 - 1999
Robert Dikoko Dodoma Sec 1995 - 1997
 
Waache Waseme Sana Siwajali Athumani - Mhitimu Masters of Education UDSM 2007
 
Hivi hapa kwetu kuna sheria inayodhibiti majina? Wa Swede wao hawana mchezo kwenye ishu ya majina:

Baby named Metallica rocks Sweden

A Swedish couple have run into trouble with authorities for trying to name their baby Metallica. Michael and Karolina Tomaro are locked in a court battle with the country's National Tax Authority about naming their daughter after the rock band.
The six-month-old has been baptised Metallica, but tax officials have dubbed the name "inappropriate".

Under Swedish law, both first names and surnames need to win the approval of authorities before they can be used.
Offensive, unsuitable or inappropriate names, as well as those that could "cause discomfort for the one using it" cannot be used.
Last month, Goteborg's County Administrative Court ruled there was no reason to block the name, adding that a Swedish woman already has the middle name Metallica.

Name battle
However, the Tomaro family ran into trouble when they tried to register the name with tax authorities before applying for a passport.
Tax officials objected to the decision, sending the case to a higher court.

"We've had to cancel trips and can't get anywhere because we can't get her a passport without an approved name," said Mrs Tomaro.
Baby Metallica is not the first Swedish child to fall foul of Swedish name laws - the names Ikea and Veranda have also been rejected in the past.

The name Brfxxccxxmnpcccclllmmnprxvclmnckssqlbb11116 - pronounced Albin - was also rejected by authorities in 1996. The boy's parents had chosen the name as a protest against Swedish naming laws.

But, the name Google managed to pass muster in 2005, when Oliver Google Kai was named by his parents, search engine expert Elias Kai and his wife Carol.

Source: BBC
 
Ndugu
Tuntemeke nyakisa Mwihomeke,Mbunge wa MAKETE 1995
Ndugu
bibi titi
 
Pastor Yoshiro Kumamoto-SDA church,Kansas. Sori heading ni in tz! Ma bad!
 
madata lugomola
iholomela matandula
ng'wanidako ludetemya
maganiko lumelezi
busulwa nhomele
wasukuma wenzangu wa igunga..!
 
Rehema Mwakijambile, graduate IRDP Dodoma-Tanzania

Moses Mwankejela- TRA Arusha Tanzania

Lusako Mwakafyokofyoko, TPDF, Bulombola 2001
 
tuntufye mwaipas-shycom 2000,
nyawili mohamed-shycom 2000,
nyambabi nungu-shycom 2000,
lusekelo chibi-shycom 2001,
duh, kitambo mazee,
salute 2 u.
 
Hivi hapa kwetu kuna sheria inayodhibiti majina? Wa Swede wao hawana mchezo kwenye ishu ya majina:

Nchi zote zilizoendelea zina idara maalum ya kudhibiti majina ya watoto.
Pale unapoenda kuregister mtoto kama jina limeonekana na 'maana' mbaya au kutopendeza kwenye jamii hukataliwa.

Ni rahisi kufanya regulation hii kwenye nchi ya watu wa Kabila moja ambao wote wanazungumza lugha moja tu.

Kwa Tanzania Zanzibar labda wangeweza kufanya hivyo lakini kwa sahemu nyengine isingewezekana
 
Back
Top Bottom