Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Onesmo Ma.ta.ko. kasulu sec 2000-2003.

Sophia misuzi-mubondo sec kasulu
 
Ndugu edward mwakafila Tanga Tech 2004 ndugu semeni ngozi tanga tech 2002-2005
 
Sky mukulu M.P.A. UDom na James Mapenzi na. ...... Mahaba. M.B.A. UDom 2014
Anyandwile Anyangisye Iteba sec. 2002 ss hivi sinza sec
 
Mwakitakotako S. Mwaipumbuje sijui ni shule gani na mwaka gani
 
Nilisoma na Gogomoka Misalaba 1991-1994 Dodoma Sekondari. Sitasahau siku mwl wetu wa darasa wa form IIF alipokuwa anaita majina darasani alisema kila anaposoma majina darasani akifika jina hilo tu huwa anajiona yuko makaburini na huwa anaona misalaba mingi sana. Kilichofuata ni kicheko kupita kiasi. He was a polite guy indeed! Kwa taarifa nilizonazo yuko Geita au Sengerema.
Jikapu Jikung'ute
 
Back
Top Bottom