Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Ngoja ng'wijo- galqnos secondary, kumala kabisa, madako pee, kikuma chako-shinyanga, masanzagi uboroo- kigoma
 
1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992.

2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka 1998.

3. Ndugu ABDALLAH NYUNDO KICHECHE-Mwanafunzi wa kidato cha kwanza shule ya sekondari Minaki mwaka 2002.

4. Ndugu MASANINGA SUMAKU POMBOJOLOWE a.k.a PUMBU-Dereva wa mabasi ya Hood.

5. Koplo RUBYENEKO MUGANYIZI BYOMBARIRWA-Mpishi mkuu wa kikosi cha 34 cha Jeshi (34 KJ), Mbeya.

6. Ndugu TAKOTAKO WA PUMBUJE a.k.a AKANANA-Muuza miwa na maji baridi maarufu pale magomeni makutano ya barabara za Rashid Kawawa na Morogoro.

7. Mheshimiwa NJENGAFIBILI MWAIKUNGILE-Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.

8. Mheshimiwa JOHN POMBE MAGUFULI-Waziri wa Ujenzi Tanzania.

9.Ndugu TUNTUFYE MWAIKIMBA a.k.a KIMBA-Fundi majiko maarufu Railway Gerezani Dar es Salaam.

10. Ndugu BENADETTA TYETYETYE-Mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, mwaka 2001 fani ya sayansi ya jamii (BA)










MAUA MATESO MABALA, mwanafunzi wa chuobkikuu cha mtakatifu Joseph tawi la Arusha
 
haya ni majina mazuri ya shule ya dodoma secondary 2014 form 2/=mboponja,mbwilinde,miyale,ndunguli,brian kumaro,ndejembi,changuvu,ngongite,chambogo,ngochilo na kuendelea
 
Lukangakala Kapapa Lake Secondary School Mwanza, same stream with lawyer Sadock Magai and Msherwampamba.
 
Asajile Bansilile Mwakalindile - Uhuru mchanganyiko PS Opp na TBL LY 1985 sijui yupo wapi sasa

Ndekamfoo Ndefoo Shoo - KiliBoys Sec School 1989
 
Back
Top Bottom