Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Mbilizi Madata nilisoma naye Forest Hill Moro, 1992-94, huyu Dada alikuwa mkimya na mpole kweli, itabidi nimtafute kule FB.

Bwigane Magomela nilisoma naye Azania Sec. Dar, 1988-1991. Umenikumbusha mbali kweli. Namshukuru Mungu, ametutoa mbali sana

heshima yako ndugu shikamoo mara saba du ulisoma sec zamani sana na naona ni zamani coz ndo miaka nlokua nazaliwa 1988-1990
 
1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992.

2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka 1998.

3. Ndugu ABDALLAH NYUNDO KICHECHE-Mwanafunzi wa kidato cha kwanza shule ya sekondari Minaki mwaka 2002.

4. Ndugu MASANINGA SUMAKU POMBOJOLOWE a.k.a PUMBU-Dereva wa mabasi ya Hood.

5. Koplo RUBYENEKO MUGANYIZI BYOMBARIRWA-Mpishi mkuu wa kikosi cha 34 cha Jeshi (34 KJ), Mbeya.

6. Ndugu TAKOTAKO WA PUMBUJE a.k.a AKANANA-Muuza miwa na maji baridi maarufu pale magomeni makutano ya barabara za Rashid Kawawa na Morogoro.

7. Mheshimiwa NJENGAFIBILI MWAIKUNGILE-Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.

8. Mheshimiwa JOHN POMBE MAGUFULI-Waziri wa Ujenzi Tanzania.

9.Ndugu TUNTUFYE MWAIKIMBA a.k.a KIMBA-Fundi majiko maarufu Railway Gerezani Dar es Salaam.

10. Ndugu BENADETTA TYETYETYE-Mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, mwaka 2001 fani ya sayansi ya jamii (BA)

Haaaahaaa Teh Teh
 
Deo filikunjombe
Hemed olotu
Said bahanuzi
Mwambalaswa
Anyelwisye amanyisye
Tundu lisu
Sharhia middle wa itv
Sitti mtemvu
Chiku machangu
Chibwa
Juru
Chopa mchopanga
Asha dengegu
Regina mziwanda
Nuh mziwanda
 
Ndugu NTAMUDYANKO BALISHIMULA muhitim wa kidato cha nne shule ya sekondari Moyowosi Kigoma
 
nilikuwa naye jeshini jamaa anaitwa Mboro sululu sijui yuko wapi. Siku moja aliteswa sana na maafande wakadhani anawatania walipommuliza jina na kuwaambia: Jina langu ni MBORO SULULU
 
Yupo ni Koplo wa Magenta na Mchezaji wa Lushoto Veterans. shabiki mkubwa wa Arsenal. Utamkuta Highland Hotel kila Arsenal inapokuwa dimbani
 
Juliana Matagiyasoda=Naibu Mkurugenzi wa Michezo chini ya Leonard Trade. Hakosi mechi uwanja wa Taifa kuanzia zile za VPL mpaka kimataifa
 
Back
Top Bottom