Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Barnabas MTOKAMBALI, askofu mkuu wa Tanzania Assemblies of God-TAG
 
Ramadhan IGHONDO, mwanafunzi wa Mwenge Sekondary School 1995-1998 na Mbunge wa Singida Kaskazini 2020-2025
 
Christopher BARIKI, mwanafunzi shule ya sekondari Mwenge 1995-1998 na shule ya sekondari Usagara 1999-2021
 
Mr. Musenge Mukuma, alikuwa anafanya kazi kwenye ubalozi wa Zambia na kama siyo Malawi.
 
Tigamanywa Buhatwa - Dodoma Secondary 1996 - 1999
Mandinje Machipandunji Nunduma - Royal Deep Cargo Services Ltd
Amani Jidulamabambasi - RIP
Daniel Nswanzungwanko
Kate Kamba
Joseph Selasini
Ali Forty - Dodoma
Huyo wa mwisho mkewe aitwa Raia
 
Mangege RIP K/ ndege P/S
Tibendelana
Lipio Chunyu ss 2019 - 2021
Kasukulo Nasukwa
 
Ali mavuzi (Mahfoudh) huyu kwenye tendency mwalimu alikua anapata tabu Sana kulitaja hili jina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…