Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Supuku Milia, Kaunda Kungunye, Victor Mamamkwe.. Hao nilisoma nao.. Ila kuna akina Sitaki Malaki, Palamagamba Kabudi, Padinjareparampili
 
BALOZI MMOJA AMBAYE ALILETWA TANZANIA LAKINI IKABIDI ASIPOKELEWE KUTOKANA NA JINA LAKE ALIKUWA ANAITWA MUKUNDU MUKHUMA
 
Angulile Kafikampatile Mwaikenda. Alikuwa mwalimu wa shule ya msingi Matwiga iliyoko Chunya Songwe (Zamanii Mbeya). Kipindi flani nilisikia kahamia Lupa. Kafikampatile ndo ishu hapo
 
4cd01a5dacdf8cd6da2f8f2046d7f952.jpg


Mzee mwenye mavazi ya kimaasai ndiye Kukutia Ole Pumbuni
fcbf078cf56e22c1923b07f81af7d256.jpg
 
Vyondaliye, myandagaro, Ndaruvyalire, Vyaghuttagha, Namyengero, Nzophaahomvukiye, Kantagara, Mbonamasabo, Havyarimana, Imanayamuremye, Ngurinziraahombaye, Niyonkuruyandemye,
Hawa Nina undg nao.
 
Back
Top Bottom