Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Jakaya Mrisho kikwete Mkwerewacha Linzem zee !! Ikulu Daisalama Rais kuanzia Mwaka ......2005- Siku hizi yuko Goba anafuga mbuzi!
 
(Makumaku Kinyenye Polepole Mkundupolipo) ni jamaa mmoja mtata sana kiungo namba 8. Huyu Kwa soka la Ulaya, angechezea timu Bora duniani
 
1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992.

2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka 1998.

3. Ndugu ABDALLAH NYUNDO KICHECHE-Mwanafunzi wa kidato cha kwanza shule ya sekondari Minaki mwaka 2002.

4. Ndugu MASANINGA SUMAKU POMBOJOLOWE a.k.a PUMBU-Dereva wa mabasi ya Hood.

5. Koplo RUBYENEKO MUGANYIZI BYOMBARIRWA-Mpishi mkuu wa kikosi cha 34 cha Jeshi (34 KJ), Mbeya.

6. Ndugu TAKOTAKO WA PUMBUJE a.k.a AKANANA-Muuza miwa na maji baridi maarufu pale magomeni makutano ya barabara za Rashid Kawawa na Morogoro.

7. Mheshimiwa NJENGAFIBILI MWAIKUNGILE-Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.

8. Mheshimiwa JOHN POMBE MAGUFULI-Waziri wa Ujenzi Tanzania.

9.Ndugu TUNTUFYE MWAIKIMBA a.k.a KIMBA-Fundi majiko maarufu Railway Gerezani Dar es Salaam.

10. Ndugu BENADETTA TYETYETYE-Mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, mwaka 2001 fani ya sayansi ya jamii (BA)
===========================
===========================
UPDATES: Mwenye jina no. 8, John Pombe Magufuli, sasa ndiye Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015 - 2020
Mayiku thumuni pula
Misalaba mabelele numbu
Noni matangula moga
Masanja nziku lupondya
Sato ndibato nzelakoma
Shilingi burugu pogoma
 
Nimegundua majina mengi hapa ni ya:
1. Kisukuma/Nyamwezi
2. Kinyakyusa
3. Pwani (kwere,zaramo,makonde,dengereko)
4. Kimasai
 
  1. Kambarage Nyerere
  2. Mabere Marando
  3. Fundikira
  4. Fumbuka Ng'wanakilala
  5. Kijakazi Kyelula
  6. KIjakazi Mchujuko
  7. Makanyila Mwisongo
  8. Anyekwa Chilipweli
  9. Tusekile Kibonde
  10. Salanga Chilipweli
  11. Mboni Masimba
  12. Lusajo Kibonde
  13. Shani Mnyani
  14. Sima Mwombela
  15. Nkundwe Mwakasendo
  16. Chanja Mwombela
  17. Mosi Kipokola
  18. Chambi Msiagi
  19. KIsa Kilindu
  20. Mrambo Derua
  21. Nzota Kilonzo
  22. Kanyeka Ntuyabaliwe
  23. Tibu Mwandoro
  24. Andembwise Mwakanyamala
  25. kalimba Swere
  26. Kumi Mkono
  27. Ndabu Swere
  28. Mhoja madata
  29. Mbilizi Madata
  30. Nampombe Kibacha
  31. Nsane Ligati
  32. Buberwa Mutasa
    Usungu Mbelle
    Bwigane Magomela
    Bwigane Mbangula
    Mateo Mundeba (R.I.P)
    Kumalilwa s
    Shaka Kirigini
    Mandela Wakati
    Ngade Chabanga Dyamwalle
    Mwamshindo Rajab
    Bimkubwa Rajab
    Kazikupenda Chale
    Kadogo Ngula
    Masha Makata
    Mao Makata
    Yisambi Mboma
    Narego Mbago
    Sigo Mwapachu
    Chimpaya Ntagazwa
    Mpeli Nsekela
    Magambo Lakilang'anyi
    Wanseho Tulibao Mkisi
    Nesha Derua
    Kwizela Ntagazwa
    Nzagi Lakilang'anyi
    Mahiga Mapigano
    Mageta Opanga
    Maganga Liwali
    Gagi Limihagati
    Kapona Gombanila
    Mwanawetu Mbonde
    Pelelwa Shauri
    Irema Linjewile
    Mire Nyakilang'anyi
    Mwiga Kapya
    Akinyi Opanga
    Maua Daftari
    Sawaya Kilonzo
    Ngundilile Mwambenja
    Kizito Kihiwili
    Nyamwende Nyamka
    Tabasamu Ngongoseke
    Kibudia Mwaimu
    Faraja Kota


Zamani nilikua naona majina ya ajabu siku hizi naona ni majina ya kujivunia, yani ile feeling unakwenda nje ya nchi halafu watu wana shindwa tamka jina lako kwangu naona ufahari sana.
Plus Mwigulu Nchemba Rais wa Mawe 2015
 
Back
Top Bottom