Ndo manake angalau sisi tupoHt tusipoonekana kwenye list tyr ni wafalme wa Chit chat
We the best. Kiuswazi zaidiWao sana thread za fix fix na uzushi msingi km igali uliowekwa sausage.....
Sisi tupo kifunny na uhalisia wa maisha yetu ya Uswaz....thread zetu hazichuji ng'o
We are The Best
Ha ha ha naona namba 4 umejiachia mwenyewe ha ha haNawatakia jumapili yenye baraka
Sio kila siku kuja na list ya wakongwe wkt kuna list nyingi tu....wafuatao ni list ya members wanaokimbiza kimya kimya na wanaokuja kwa kasi hapa JF yaani makapuku/underground/wasio maarufu JF wenye:
Most posts
Most likes
Most points
1/Phillipo Bukilo
2/MKWEPA KODI
3/Einstein newton
4/.............
5/YEHODAYA
6/Jimena
7/Pohamba
8/Barbarosa
9/Th Name
10/Mwanahabari Huru
******************
11/ribii
12/Bansen burner
13/chosen generation
SOURCE;
/>Notable Members | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
hongereni !!!!!!
****LIST INACHANGE ANYTIME KWAHIYO LINK INABADILISHA LIST...****
Jokes ;
Phillipo Bukilo[emoji117] verified user wa kitaa?
MKWEPA KODI[emoji117] Ukishikwa na Anko Magu sitakutetea !
Th Name [emoji117] ur name is?
Barbarosa[emoji117] Ni kisiwa gani hiki?
Einstein newton[emoji117] hujavumbua ht kishada
Bansen burner[emoji117] halafu Kemia una F
Mwanahabari Huru[emoji117] mbona hutoi habari za makapuku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
JF Makapuku Founder
The Bitoz
HapanaUnaenda kucheki EL CLASSICO kibanda umiza?..
Poa poa furahia mechiMi nacbeck tu Azamtv.....
Mkuu sikufikiibitoz naona unakimbizana na lundo la likes..mda mfupi nawe ni mkongwe
Nipo namba 20 duuuhMkuu unaburuza mkia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaha unawabana hawana pakutokea......hawa wakongwe wanachungulia tu Thread zako kama hawazioni vileWakikuckia mi sino...nishapigwa mikwara PM
Underground vs Wakongwe wa JFHahahaha unawabana hawana pakutokea......hawa wakongwe wanachungulia tu Thread zako kama hawazioni vile
Inabidi tuweke kikao Rais tumwambie na makamu wa Rais. Na mimi waziri mkuuMakapuku noma...au kuna hujuma wanataka mapinduzi ya kupindua serikali yao nini
Tukipinduliwa tunakinukishu humu. Tujipange vizuri [emoji379] [emoji378]Mapinduzi hufanywa kwa siri...
Ukija kushtuka ushatupwa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]