Kutangulia sio kufikaSijaelewa maana ya ukongwe, inamaana hata anayetoa pumba anajihesabu kwenye kundi la wakongwe? Kama ndivyo sifa izo ziniepuke. Dhambi ya ubaguzi itakuwa haikuanzia JF ni kwenye familia zenu, utakuta mtoto wa kwanza ndo anayekaa karibu na baba kwa vile ni wakwanza. Hapa tuangalie anayetoa point anayejua kujenga hoja siyo mauza uza ya ukongwe.
Umeongea pointSijaelewa maana ya ukongwe, inamaana hata anayetoa pumba anajihesabu kwenye kundi la wakongwe? Kama ndivyo sifa izo ziniepuke. Dhambi ya ubaguzi itakuwa haikuanzia JF ni kwenye familia zenu, utakuta mtoto wa kwanza ndo anayekaa karibu na baba kwa vile ni wakwanza. Hapa tuangalie anayetoa point anayejua kujenga hoja siyo mauza uza ya ukongwe.
Nanikuna mmoja umemsahau
MimiNani
Kuna zoba kasema et sisi ni MTU m1 ila ID tofauti hebu mquote umpe mnyoosho
Ngoja ni mapema[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Umegeuza viatu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwambie azireport halafu tuone kama zitaunganishwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Potezea tu mkuu