Ni kweli kabisa.Sisi sasa hivi sio level yao so tunawapa kick kuwajibujibu
Ha ha ha! Haya bhana mzee wa Chit chat.MAKAPUKU tupo swaaf
Maarufu cjui hali yao
Tumia akili ya kuzaliwa tu mkuu
Chit chat bado IPO juu ...sema ww jukwaa lako ni la Polifix
Siku hizi wameishiwa ubunifu kila siku utasikia "Nampenda fulani" halafu wakiona jukwaa linadidimia wanashusha lawama kwa MAKAPUKU et sisi ni GREAT SINKERS,,,Wkt wao ni vinara wa kujaza makorokoro server za JfHa ha ha... niliwahi kuwa member mzuri wa chit chat!!
Kitu ilikuwa kwa Wings...
hivi siku izi couples bado zina exit?
Nilitaka nishangae..... Nakosaje hapo kwenye list kwa mfano?Nawatakia jumapili yenye baraka
Sio kila siku kuja na list ya wakongwe wkt kuna list nyingi tu....wafuatao ni list ya members wanaokimbiza kimya kimya na wanaokuja kwa kasi hapa JF yaani makapuku/underground/wasio maarufu JF wenye:
Most posts
Most likes
Most points
1/Phillipo Bukilo
2/MKWEPA KODI
3/Einstein newton
4/.............
5/YEHODAYA
6/Jimena
7/Pohamba
8/Barbarosa
9/Th Name
10/Mwanahabari Huru
******************
11/ribii
12/Bansen burner
13/chosen generation
SOURCE;
/>Notable Members | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
hongereni !!!!!!
Jokes ;
Phillipo Bukilo[emoji117] verified user wa kitaa?
MKWEPA KODI[emoji117] Ukishikwa na Anko Magu sitakutetea !
Th Name [emoji117] ur name is?
Barbarosa[emoji117] Ni kisiwa gani hiki?
Einstein newton[emoji117] hujavumbua ht kishada
Bansen burner[emoji117] halafu Kemia una F
Mwanahabari Huru[emoji117] mbona hutoi habari za makapuku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Siku hizi wameishiwa ubunifu kila siku utasikia "Nampenda fulani" halafu wakiona jukwaa linadidimia wanashusha lawama kwa MAKAPUKU et sisi ni GREAT SINKERS,,,Wkt wao ni vinara wa kujaza makorokoro server za Jf
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]aiseee
tatizo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu ishu sio ukapuku bali kuna watu hua wanapenda kujibu utumbo hata kwa ishu siriaz na ukicheki unaona kama huyo mtu sio wa long kiviiile sasa unahisi labda kaingia kwa ajili ya kuua tuSiku hizi wameishiwa ubunifu kila siku utasikia "Nampenda fulani" halafu wakiona jukwaa linadidimia wanashusha lawama kwa MAKAPUKU et sisi ni GREAT SINKERS,,,Wkt wao ni vinara wa kujaza makorokoro server za Jf
Mkuu ishu sio ukapuku bali kuna watu hua wanapenda kujibu utumbo hata kwa ishu siriaz na ukicheki unaona kama huyo mtu sio wa long kiviiile sasa unahisi labda kaingia kwa ajili ya kuua tu