Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa 'Legend in the making' makapukuzz ila speed ya hatarii..sema nn we bishoo toa F hapo kwenye Chemistry weka A+Nawatakia jumapili yenye baraka
Sio kila siku kuja na list ya wakongwe wkt kuna list nyingi tu....wafuatao ni list ya members wanaokimbiza kimya kimya na wanaokuja kwa kasi hapa JF yaani makapuku/underground/wasio maarufu JF wenye:
Most posts
Most likes
Most points
1/Phillipo Bukilo
2/MKWEPA KODI
3/Einstein newton
4/.............
5/YEHODAYA
6/Jimena
7/Pohamba
8/Barbarosa
9/Th Name
10/Mwanahabari Huru
******************
11/ribii
12/Bansen burner
13/chosen generation
SOURCE;
/>Notable Members | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
hongereni !!!!!!
Jokes ;
Phillipo Bukilo[emoji117] verified user wa kitaa?
MKWEPA KODI[emoji117] Ukishikwa na Anko Magu sitakutetea !
Th Name [emoji117] ur name is?
Barbarosa[emoji117] Ni kisiwa gani hiki?
Einstein newton[emoji117] hujavumbua ht kishada
Bansen burner[emoji117] halafu Kemia una F
Mwanahabari Huru[emoji117] mbona hutoi habari za makapuku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pamoja sana Mkuu.Salute kwako pia
Ndo unalia kwa furaha au?Nilitaka nishangae..... Nakosaje hapo kwenye list kwa mfano?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaaaa [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ndo unalia kwa furaha au?
Bora na sisi tupo kwenye list yetu. Mbona unaikataa F yako kaka[emoji2] [emoji2] [emoji2]Hahaaaa [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sasa kumbe vipi?Ndo unalia kwa furaha au?
Furahi ni zamu yetu sasa. Naona unaitaka namba NNE hiyo.Sasa kumbe vipi?
Hapana sijaikataa ila hapo alipoiweka amekosea inasehem yake [emoji1]"Bora na sisi tupo kwenye list yetu. Mbona unaikataa F yako kaka[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Nahisi kwenye hesabu si ndio[emoji2]Hapana sijaikataa ila hapo alipoiweka amekosea inasehem yake [emoji1]"
Hahaha, am out [emoji112]Nahisi kwenye hesabu si ndio[emoji2]
Hahaha poa poaHahaha, am out [emoji112]
Mkuu usikatae matokeo yako.... F nayo ina raha yake (alisema ni jokes )Hahahaaaa 'Legend in the making' makapukuzz ila speed ya hatarii..sema nn we bishoo toa F hapo kwenye Chemistry weka A+
Haha ni jokes i knw" raha ya F nn?Mkuu usikatae matokeo yako.... F nayo ina raha yake (alisema ni jokes )
Maana hakuna namna nyingine[emoji2] [emoji2]Jitahidi utashika mpaka namba moja kabisa