TOP 10 makapuku tishio JF

TOP 10 makapuku tishio JF

Nawatakia jumapili yenye baraka
Sio kila siku kuja na list ya wakongwe wkt kuna list nyingi tu....wafuatao ni list ya members wanaokimbiza kimya kimya na wanaokuja kwa kasi hapa JF yaani makapuku/underground/wasio maarufu JF wenye:
Most posts
Most likes
Most points

1/Phillipo Bukilo

2/MKWEPA KODI

3/Einstein newton

4/.............

5/YEHODAYA

6/Jimena

7/Pohamba

8/Barbarosa

9/Th Name

10/Mwanahabari Huru
******************

11/ribii
12/Bansen burner
13/chosen generation


SOURCE;
/>Notable Members | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
hongereni !!!!!!






Jokes ;
Phillipo Bukilo[emoji117] verified user wa kitaa?
MKWEPA KODI[emoji117] Ukishikwa na Anko Magu sitakutetea !
Th Name [emoji117] ur name is?
Barbarosa[emoji117] Ni kisiwa gani hiki?
Einstein newton[emoji117] hujavumbua ht kishada
Bansen burner[emoji117] halafu Kemia una F
Mwanahabari Huru[emoji117] mbona hutoi habari za makapuku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaaaa 'Legend in the making' makapukuzz ila speed ya hatarii..sema nn we bishoo toa F hapo kwenye Chemistry weka A+
 
Makapuku[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] bora sipo kabisa
 
Hahahaaaa 'Legend in the making' makapukuzz ila speed ya hatarii..sema nn we bishoo toa F hapo kwenye Chemistry weka A+
Mkuu usikatae matokeo yako.... F nayo ina raha yake (alisema ni jokes )
 
JimMimi Kaclick post: 15559591 said:
Sijaridhishwa kabisa na ukokotoaji wa Bitoz lakini acha nikomae tu next time itakuwa zaidi ya 4
Sijakokota mimi
Kaclick link/source
 
Back
Top Bottom