Kucheka na kulia zote ni kelele, Raha kuwa ulijaribu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Haha ni jokes i knw" raha ya F nn?
Hahahahaha Hiyo divesheni duuuhMimi nilipata DIVISHENI BWAWA yaani F zote except Chemistry kwahiyo ile ni yake
Nimeona link lakini sasa si ndo najaribu kujitetea ili nikupiku?Sijakokota mimi
Kaclick link/source
Duh Naskia hakuna kitu kigumu kama kupata Zero" ulifanyaje mkuuMimi nilipata ZIRO lkn Kemia nna D....sihusiki hapo
[emoji2] [emoji2] kashafanya yake tayariAnaweza hata kuchakachua
Hahaha hata nataka hiyo namba mokoInaweza kutumia hata miaka 10 lengo hilo kutimia
Mtag Jecha aje kufuta matokeo [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji2] [emoji2] kashafanya yake tayari