Asante sana[emoji120] [emoji120]Hongereni
Mi mbona sipo!!!!!!??Nawatakia jumapili yenye baraka
Sio kila siku kuja na list ya wakongwe wkt kuna list nyingi tu....wafuatao ni list ya members wanaokimbiza kimya kimya na wanaokuja kwa kasi hapa JF yaani makapuku/underground/wasio maarufu JF wenye:
Most posts
Most likes
Most points
1/Phillipo Bukilo
2/MKWEPA KODI
3/Einstein newton
4/.............
5/YEHODAYA
6/Jimena
7/Pohamba
8/Barbarosa
9/Th Name
10/Mwanahabari Huru
******************
11/ribii
12/Bansen burner
13/chosen generation
SOURCE;
/>Notable Members | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
hongereni !!!!!!
Jokes ;
Phillipo Bukilo[emoji117] verified user wa kitaa?
MKWEPA KODI[emoji117] Ukishikwa na Anko Magu sitakutetea !
Th Name [emoji117] ur name is?
Barbarosa[emoji117] Ni kisiwa gani hiki?
Einstein newton[emoji117] hujavumbua ht kishada
Bansen burner[emoji117] halafu Kemia una F
Mwanahabari Huru[emoji117] mbona hutoi habari za makapuku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Inabadilika sanaa kufumba na kufumbua mtu unaweza kujikuta nje ya 10 boraNaona list ishachange...nimetupwa # 5.....ckuwepo Jf Jana nakuta tyr mtu kachukua nafac yangu....ukizubaa tu umeachwa!!!
Mimi niko namba ngapi sasa hivi?Naona list ishachange...nimetupwa # 5.....ckuwepo Jf Jana nakuta tyr mtu kachukua nafac yangu....ukizubaa tu umeachwa!!!
Nadhani 10 maana Barbadosa yuko mbele yakoMimi niko namba ngapi sasa hivi?
Mi mwenyewe niko no 7 kuna mtu amenipiga kikumbo matata sanaTh Name bado kiduchu tu atoke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbona nazidi kushuka sasaNadhani 10 maana Barbadosa yuko mbele yako
Hapa kuna fitina sio bureYe mwenyewe kapigwa kikumbo[emoji134]
Duuuh sio fair kabisa10
[emoji23] [emoji23]
Ongeza bidii mkuu, kaza tu buti maana hakuna namna nyingineMbona nazidi kushuka sasa
Huenda fitina inafanywa na wakongwe[emoji85] [emoji85]Hapa kuna fitina sio bure