Hivi mkuu unazielewa lakini Koenigsegg au umeongea tu!?Kwenye viatu vya watoto, hapa zinaongelewa real ass cars sio gari zenye shape kama soapdish!
Yah kwa stock engines Lexus anakimbiza na naturally aspirated zake na anawatoa nishai hata wajerumani. Kinachomuokuoa mjerumani ni ma turbochager tu kwa sasa!Hizo ulizotaja apo labda ni stock lakini sijaiona GTR R35
ACHANA KABISA NA SUBARU NA IZO EVO ZILIZOJAZWA MADUDU(MODED)
Sent using Jamii Forums mobile app
Naielewa na ile sio tu car ni supercar!Hivi mkuu unazielewa lakini Koenigsegg au umeongea tu!?
ᴱᵛᵉʳʸᵇᵒᵈʸ ˡᵒᵛᵉˢ ᵃ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
Soap dish ulimaanisha nini?Naielewa na ile sio tu car ni supercar!
Alfu mkuu hii listi ni ya gari zenye horsepower kubwa na ikumbukwe pia speed haiangaliwi kwa hp kubwa mfano hizi lexus unakuta hp kubwa lakin gari lina uzito mkubwa.. Speed inaangaliwa kwa mazingira mengi kama gear ratio,weight, na aina ya transmissionYah kwa stock engines Lexus anakimbiza na naturally aspirated zake na anawatoa nishai hata wajerumani. Kinachomuokuoa mjerumani ni ma turbochager tu kwa sasa!
Jamaa hajui kama huu ndo uwanja wako wa nyumbani hahah.Naielewa na ile sio tu car ni supercar!
Juke kwa ki-israel ni Mende mkuu.
Hahah...ina sura chafu but namkubali huyu mnyama!Juke kwa ki-israel ni Mende mkuu.
Juke ina sura mbaya sana mkuu,samahani lkn hahah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah...ina sura chafu but namkubali huyu mnyama!
Mi Nissan nitakufa nazo, napenda sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
yamaha hatengenezi magari ila anatengeneza engines....nadhani hat hii lexus hapo juu engine ni yamahaYamaha hakuna
Shape isio na mvuto, you cant compare that look to a properly designed car like the jaguar XFSoap dish ulimaanisha nini?
ᴱᵛᵉʳʸᵇᵒᵈʸ ˡᵒᵛᵉˢ ᵃ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
Hahah anahisi naziskia tu hizo ndinga
Power to weight ratio ndio factor kubwa sana kwa ku determine speed na torque ya gari! Walioweza kutumia light weight materials kwenye body na cabin huku wakiweka more horses output ndio wameweza kuzifanya gari kuwa more sportier!Alfu mkuu hii listi ni ya gari zenye horsepower kubwa na ikumbukwe pia speed haiangaliwi kwa hp kubwa mfano hizi lexus unakuta hp kubwa lakin gari lina uzito mkubwa.. Speed inaangaliwa kwa mazingira mengi kama gear ratio,weight, na aina ya transmission
Sent using Jamii Forums mobile app
Crown hana hata 300 horses hawezi kuwepo hapo af gari zito sanaWapi Toyota Crown?
MGC