RUKUKU BOY
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 1,516
- 1,775
Mose iyoboo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaa styl za chris zooote ni marudio ya styl za wacko jacko hamna kipya palee
Awapi huez kumfananisha hata kidogo na mj chris brown tu ukimueka na dogo yule shmateo anasandaChris Brown anacheza kuliko Michael Jackson mwenyewe
Party usher kamfunika chris angalia vizurndiyo mkuu angalia hata nyimbo ya party chris kamfunika usher
mkuu bila " ya kuhusisha unafiki MJ ni mtu hatari sana "... kwanza alikuwa anajitambulisha kwa style zake pekee za uchezaji " kiasi kwamba hata ikitokea leo mtu akazicheza " dunia itafahamu tu kuwa ameziiga toka kwa MJ ....Wanafki watakataa,huwa hawapendi msanii mpya mkali asemwe ni mkali kuliko wa zamani.
hao watu wameshindikanabrekaz wakae pembeni kidogo mana ile sanaa hujifunzi ukubwani kudadek, wale watu ni hatari sana wazee wa kuzungukia vichwa? noma sana wale watu.
Awapi huez kumfananisha hata kidogo na mj chris brown tu ukimueka na dogo yule shmateo anasanda
Chris hata kwa uyu dogo hafikiView attachment dabofteo-20180724-0001.mp4Ni hivi, stunts za Chris Brown mara nyingi ni physical wakati Michael nyingi zilikuwa illusions tu. Chris Brown ni moto achana nae kabisa. Tafuta video zake kabla ya kumfananisha
Chris hata kwa uyu dogo hafikiView attachment 871257
Huyu jamaa ni wa India, japo kwa sasa anafukuzwa na Tiger Shrof naye wa Indiahahahaha huyo Hrithik roshan ni wa wap