Iconoclastes
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 4,091
- 2,511
Lol! Nope. Hivyo ni vinchi vidogo ambavyo havihitaji rasilimali nyingi sana kuendesha kama Kenya.Hata nyie mnarasilimali nyingi kuliko Mauritius na Seychelles lakini mnapumilia mashine tu
Kenya ina watu wengi, hivyo ingawa ina rasilimali kubwa kushinda visiwa hivyo, kamwe havitoshi kukidhi mahitaji yote ya kimaendeleo. Tanzania kwa upande wake ina ukwasi mkubwa mno wa raslimali nchi, lakini changamoto yamekuwa ukosekano wa mipango mema, siasa mbovu, na sera za kisiasa na kiuchumi ya miaka ya hapo awali ambazo hazikufaa.