1. Messi < mchezaji bora wa muda wote, na mchezaji bora kuwahi kumshuhudia >
2. Pelle < baba lao kutoka ardhi iliyojaaliwa vipaji, magoli plus world cup akiwa mchezaji wakutegemewa he deserve it )
3. Maradona < Fundi mpira, mtukutu aliyewatesa waingereza, na pia alipotua pale napoli timu ilikua tishio sana kwa kipindi hicho, hatari sana huyu mtu )
4. CR7 < second best player to witness,, kipaji + hardworking, imemuwaka cr7 kwenye level ya juu kwa mda mrefu>
5. Puskas < the ghost, winger wa hatari kabisa, wastani/mechi wa magoli kwa timu ya taifa itakupa picha ni mtu wa aina gani, aliifanya timu ya taifa "hungary" iliyokuwa ndogo kabisa kisoka kua tishio kubwa miaka hiyo, hata tuzo ya goli bora la mwaka imepewa jina lake, you can imagine his ability"
Special mention: Zizzou, yashin,backenbeur, de lima, van basten, cruffy