Top 5 Greatest Players Of All Time!

Mpira sio chenga peke yake kijana, angalis na mafanikio pia...muwe mnafuatilia basi sio ushabiki tu..It means hao ma-pundits hawajui mpira sio!
Kwani Ronaldhino kuna kombe gani hajachukua akiwa barca na timu ya taifa kwa mchango wake?
 
1. Ronaldinho
2. Messi
3. Cristiano Ronaldo
4. Pele
5.Zinedine
 
Kitu muhimu ni kuwa CR7 na Messi kwenye hizo top 5 zao wapo
 
Top 5 yangu mimi inatokana na mchango wa wachezaji kwenye vilabu vyao na timu za taifa
1. Ronaldo De Lima
2. Pele
3. Maradona
4. Zidane
5. France Becknbauor
 
Kwa mimi Cristiano Ronaldo LAZIMA AWE WA KWANZA. BHAAAAASI....
 
Kuona ni kuamini.
Nimemuona Messi.

According to me, ndiye mchezaji wangu bora wa muda wote, namba 2 mpaka 5 jazeni wenyewe.
 
1. Messi
2. Pele
3. Ronaldinho
4. Cr7
5. Maradona

Special: Cannavaro, Totti, Ruben
 
Namba 2 na 4 hawapaswi kuwepo hata 10 bora...unamwachaje Maradona na Pele then unawaweka de lima na gaucho! 😀 Aise unawavunjia heshima hao wazee...lakini kwakuwa ni maoni yako sina budi kukupangia mkuu.
Namba mbili ana bdor tano

Na goli 800 sasa kama bado humkubali basi ...hata sina la kusema
 
1 . Gaucho
2. Gaucho
3. Gaucho
4. Gaucho
5. Gaucho.

Wengine watafuata baada ya hapo. Huyo mwamba amechukua kilakitu. Kuna wengine wameorodhesha top scorers na kuwalazimisha watu waamini kuwa kuweza kufunga sana ndo tiketi ya kuwa mchezaji bora kitu ambacho si kweli. Mpira ni skills mtambuka ambazo utazikuta kwa mtu kama Gaucho, Okocha, Zidane na wengine wa kariba hiyo. Ninakuhakikishia ukiwa na watu hao uwanjani hata kama goli siku hiyo halipatikani hautajuta kwenda uwanjani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…