barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Hapo kwa samatta chuki binafsi zitakuua.Balotelli
David Luiz
Samatta
Ibrahimovic
Mkuu nimebadili sasa, kuna ingizo jipya cheki tena.samahani mkuu, hapa ndo umemaliza? kama bado ishia hapa hapa.
Kiongera1. Kagwa
2. Dan Sserunkuma
3. Sserunkuma Jr
4. Musoti
5. Manyika Jr
Kwa Samatta sikuungi mkonoBalotelli
David Luiz
Samatta
Ibrahimovic
teh teh teh...Christian Ronaldo...
Ni mchezaji mkali lakini sio level ambazo mashabiki wake wanapenda kumfanya aonekane... Alikiba wa soka ndo huyu jamaa.teh teh teh...
OZILHapa tunaangalia wachezaji wa 5 waliopata sifa au kukuzwa zaidi kuliko ubora wao halisi.
Sifa hizi zinaweza kuwa ni kutoka kwenye media, Mashabiki au timu zao wanazocheza, lakini kiuhalisia uwezo wao ni wa kawaida.
List yangu ni hii:
1.Memphis Depay
2.Mario Balotelli
3.Raheem Sterling
4.Robinho
5.Giroud
Haya acha ubishi, tupe Top 5 ya kwako na wewe.
Harry KaneWaingereza wote wanaochezea timu zilizo top six ya epl sasa, kuanzia na Sterling, Stones, Kane, Walcott, Ramsey, wilshire, Oxlade, Dele Alli, Wayne Rooney, etc!
Neymar Jr yuko level ipi?Kwenye list yako ondoa neimar jr tafadhari. Yuko ktk level nyingine kabisa. UMENICHEFUA
Muller hata pasi 5 hapigi ila utamuona akishangilia tuR.Lewandowski
H.Kane
T.Muller
Hawa watatu niliowataja hata siku moia sijawahi kuwaona wanacheza mpira.
Yaani kidogo tu utasikia wameweka mpira nyavuni mpaka unqjiuliza wamecheza saa ngapi?
Mbona uwanjani huwaoni wakipiga mpira?
R.Lewandowski
H.Kane
T.Muller
Hawa watatu niliowataja hata siku moia sijawahi kuwaona wanacheza mpira.
Yaani kidogo tu utasikia wameweka mpira nyavuni mpaka unqjiuliza wamecheza saa ngapi?
Mbona uwanjani huwaoni wakipiga mpira?
Messi??? Big NOMbona wengi tu
1.lionel Messi
2.dele Alli
3.virgil van djik
4.karim benzema
5.neymar jr