technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Mimi sio shabiki wa Mambo ya mziki wa tanzania ila napenda sana kuingia mitandaoni na sifa anazopewa Diamond ni nyingi sana ila nimejiuliza baada ya pitapita zangu nimekutana jarida maarufu Marekani limetaja wasanii matajiri zaidi barani Africa ila cha kushangaza Diamond sijamuona kabisa shida nini?
Umeshindwa kuwauliza???Mimi sio shabiki wa Mambo ya mziki wa tanzania ila napenda sana kuingia mitandaoni na sifa anazopewa Diamond ni nyingi sana ila nimejiuliza baada ya pitapita zangu nimekutana jarida maarufu Marekani limetaja wasanii matajiri zaidi barani Africa ila cha kushangaza Diamond sijamuona kabisa shida nini?
Akijibu.fanya kunitagWw ultaka awe namba ngapi labda ??
Show off na kujimwambafai ( in Jk’s voice ) anamiliki kale kakibanda Madale ndio aingie kwenye list ya wasanii matajiri?Diamond ni show off nyingi tu
Anazidiwa na K-Lyn kwa sasa hahah
WivuShow off na kujimwambafai ( in Jk’s voice ) anamiliki kale kakibanda Madale ndio aingie kwenye list ya wasanii matajiri?
Ahaaaaaaaaah daaaaaaaaah so sad yaaani unafananisha mbingu(diamond) & aridhi(k-lyn a.k.a changudoa) change your mind my brotherDiamond ni show off nyingi tu
Anazidiwa na K-Lyn kwa sasa hahah
Tangu lini mtu anye gezea kwa watu akawa #1Mimi sio shabiki wa Mambo ya mziki wa tanzania ila napenda sana kuingia mitandaoni na sifa anazopewa Diamond ni nyingi sana ila nimejiuliza baada ya pitapita zangu nimekutana jarida maarufu Marekani la Forbes limetaja wasanii matajiri zaidi barani Africa ila cha kushangaza Diamond sijamuona kabisa shida nini? Nikaendelea kucheki adi top-ten jamaa hayupo!
Wizkid&Davido Wapo. au uwa ni kiki tu na maisha ya kuigiza?