Top list ya watu maarufu duniani wanao julikana kwa jina moja tu (mononymous people)

Ooooh! Hujanielewa,plato ni nick name lakini majina yake kamili ni arstocles ariston
Anhaa Kwa hapo nakubaliana na wewe Mkuu Safi sana nikuktana na wapenda Phylisophy kama wewe huwa nawafanya marafiki..... Plato, au Platon, lilikuwa ni Jina la kiuandishi , ambalo inasemekana alipewa na Mwalimu Wa masumbwi mmoja kutokana na Mwili wake na kifua chake (Kama mama Samia anavyosemaga "Na kifua Chako")

Ukimsoma Alexander Polyhistor, alipokuwa ananukuliwa na mwandishi mmoka aitwaye Diogenes, ndo aliwahi kutaja jina halisi la Plato kama Aristocles, son of Ariston kutoka Athens...

Mkuu asante sana kwa kunifanya Nizidi kumbuka Phylosophy
 

Tupac Amar Shakur, We huyajui?
Samia Suruhu Hassan /Mama we hujawahi yasikia huyajui?
Yehova/ Masiha we ukilisikia hujui?
Mtume we ukilisikia unajua ni Mwamposa au?
 

Mess
Cristian Ronaldo
Magufuli
Mkapa
Nyerere
Mange
Kikwete
Freyzem
 
Sting
Prince
Cher
Madonna
Bono
Drake
Bjork
Seal
Usher
Liberace
Beck
Enya
Coolio
Adele
Eminem
 
Kuna mambo yanafikirisha. Najaribu kuchambua nn anachowaza mleta mada naishia kusema hazimtoshi
😀😀😀 kwakweli jamaa hata mimi naona hivyo.
Maana ukianza kutaja hapa hutamaliza, watu wengi unaweza kuwataja kwa jina moja tu na ukaeleweka.
 
Umefanya tafiti kweli kaka LIKUD au umeamua kutupima ujinga wetu 😂😂

Ila nimekuelewa, mama aendelee kukataa jina lake kutumika maana jana niliandika huku italetea shida kuzuia watu wasianze kampeni kabla ya muda 2025.

Nafurahi kuona leo kawafungukia kiaina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…