Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Status
Not open for further replies.

Daaah Mkuu salute mkuu live longer mkuu lete muendelezo sibanduki kwenye hii post daah yaani nimefungua ubongo kupita maelezo ahsante chief
 
Sijui siku zote nilikuwa wapi mpaka sikuuona huu uzi
 
Unastaili kuwa mwandishi wa story za kijasusi kwenye magazeti makubwa sema basi tu Tanzania yetu hii unafiki mwingi sana.
 
Hapa ndio unaona umuhimu wa elimu.. kiongozi wa nchi anagawa rasilimali za nchi kwa kuahidiwa kupelekwa ulaya kufanya matanuzi.. hapo ndio utaona kuwa mzungu ataendelea kutawala dunia kadiri apendavyo...Mossadehg alikuwa mzalendo wa kweli ila aliangushwa na wairan wenzake..
 
lln. Lbl lb bn knnn. n nbnnkk nlknkbnbbnbnbbnbkbkbkklkjbnbknbkbkbnkkkbbkbnbkbkbbbkbbkbl non lb on on. lnlmmkk llkkllmknknlkonkklkkjjkjjjkkknnkbknnblklbkklkkbbbnkbnnll.ññnlnnnnbbnbbbbbkbbbbbbbnbbbk blkl. H.
Sort Mkuu simu imejibonyeza
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…