Tetesi: Top secret: Sio Ikulu,Sio Tis wala kikosi maalumu kiliruhusu Risasi zitumike kwa waandamanaji je who authorize..

Tetesi: Top secret: Sio Ikulu,Sio Tis wala kikosi maalumu kiliruhusu Risasi zitumike kwa waandamanaji je who authorize..

mambo anasema risasi ilipigwa hewani ikarudi ikamiga acqwelina ..
makada wote akili zao fyoko hata wakiwa askari..
 
Igweeeeeeeeeee taarifa akunyapia nyapia zimenigikia mzee wakunyapia nyapia hii ni zaid yakiza kinene kwa wale mnamtumia msg yakulaani mkuu wa taifa eti aliruhusu risasi kwa waadamnaji.

Taarifa ambazo nakosa kuzithibitisha nikwamba kweli risasi zilipigwa na mpigaji nikweli alikuwa mtumishi wa jeshi la polisi. Ila giza ni zito nani alitoa amri
Magu is a devil with His main agent Bashite!! How many orders do Bashite Give without the devils consent?
 
Utasikia akupigwa na risasi ila alipigwa na Kitu kizito chenye ncha Kali!!
 
PAMOJA NA ALIYEANZISHA MAANDAMANO BILA KIBALI HIYO DAMU IKO JUU YAKE MILELE HACHOMOKI

We pumbafu usiangalie ulipoangukia Angalia ulipojikwaa

Kwanini taratibu za katiba na sheria zinapindishwa?

Kwanini form hazikutolewa kwa wakati nini sababu, nani...kwanini...

Always look for root cause bwege wewe
 
Igweeeeeeeeeee taarifa zakunyapia nyapia zimeniangukia mzee wakunyapia nyapia hii ni zaid yakiza kinene kwa wale mnamtumia msg yakulaani mkuu wa taifa eti aliruhusu risasi kwa waadamnaji. Sio kweli yani big No.

Taarifa ambazo nakosa kuzithibitisha nikwamba kweli risasi zilipigwa na mpigaji nikweli alikuwa mtumishi wa jeshi la polisi. Ila giza ni zito nani alitoa amri. Ikumbukwe askari hawatumii risasi za moto pasipo kibali ama kuwepo hali yakuleta hatari kwa askari husika. Kila kikosi chakutuliza ghasia kuna mkuu wakile kikosi au wakundi fulani.

Habari zisizo rasmi nikuwa ile risasi ilipigwa na mmoja wa hao walinzi wa amani japo hakuna ushaidi why mpaka sasa alitumia silaha za moto. Maswali wana usalama na viongoz wajuu wanajiuliza ni:-

Je askari alie piga risasi alipatwa na mfadhaiko au msongo wakimawazo baada yakuona kundi linamjia?

Au alikuwa na ajenda ambayo mimi nawewe hatujaijuwa mpaka sasa?

Je kuna mtu nyuma yapazia alikuwa akicontrol kundi fulani la maaskari

Je ni watu wasiojulikana katika nia yao ovu bado kumchafuwa Magufuli na serikali ambalo ndio ilikuwa dhima ya yale maandamano?

Je kunakamchezo kanachezwa kuiteteresha serikali ya Magu...

Je hii ni conspiracy?

Kazi kwenu
Zidumu fikra za mwenyekiti
 
Kilichotokea kinasikitisha sana...

Iwe kwa order au kwa utashi wa askari wenyewe...


Cc: mahondaw
 
Rais Kurusu tu unununzi wa wabunge kama njugu inamaana 1kwa1 yeye ndio aliye ruhusu mauaji yaliyotokea.
Na hilo hawezi kulikwepa.
 
..hebu fafanua "kikosi maalum" ni kitu gani?

..maana vikosi vyote vya ulinzi na usalama vinajulikana, tena kwa majina.

..pia kuna taarifa mpya kwamba waliopigwa risasi siyo Aquilina peke yake, wako majeruhi wengine hospitali.

..hao majeruhi walioko hospitali Polisi wanatakiwa watoe maelezo nani aliwafyatulia risasi.

..Pia zipo taratibu za kutawanya maandamano, ikiwemo kutoa amri ya tahadhari kwa kipaza sauti, waandamanaji watawanyike.

..Je, utaratibu huo ulifuatwa au Polisi waliwashtukiza waandamanaji kwa vipigo na marisasi?
 
Ukitisha tisha watu sana na bunduki ipo siku utafyatua na kuua. Aliyeruhusu risasi zitumike kutawanya maandamano anahusika na kifo cha mpendwa Akwilina.
nimemkumbuka yule mbwiga aliyetimua risasi hewan akipambana na malima aliyeweka mikono mfukoni.
 
Igweeeeeeeeeee taarifa zakunyapia nyapia zimeniangukia mzee wakunyapia nyapia hii ni zaid yakiza kinene kwa wale mnamtumia msg yakulaani mkuu wa taifa eti aliruhusu risasi kwa waadamnaji. Sio kweli yani big No.

Taarifa ambazo nakosa kuzithibitisha nikwamba kweli risasi zilipigwa na mpigaji nikweli alikuwa mtumishi wa jeshi la polisi. Ila giza ni zito nani alitoa amri. Ikumbukwe askari hawatumii risasi za moto pasipo kibali ama kuwepo hali yakuleta hatari kwa askari husika. Kila kikosi chakutuliza ghasia kuna mkuu wakile kikosi au wakundi fulani.

Habari zisizo rasmi nikuwa ile risasi ilipigwa na mmoja wa hao walinzi wa amani japo hakuna ushaidi why mpaka sasa alitumia silaha za moto. Maswali wana usalama na viongoz wajuu wanajiuliza ni:-

Je askari alie piga risasi alipatwa na mfadhaiko au msongo wakimawazo baada yakuona kundi linamjia?

Au alikuwa na ajenda ambayo mimi nawewe hatujaijuwa mpaka sasa?

Je kuna mtu nyuma yapazia alikuwa akicontrol kundi fulani la maaskari

Je ni watu wasiojulikana katika nia yao ovu bado kumchafuwa Magufuli na serikali ambalo ndio ilikuwa dhima ya yale maandamano?

Je kunakamchezo kanachezwa kuiteteresha serikali ya Magu...

Je hii ni conspiracy?

Kazi kwenu
Mtaje tu!
 
Igweeeeeeeeeee taarifa zakunyapia nyapia zimeniangukia mzee wakunyapia nyapia hii ni zaid yakiza kinene kwa wale mnamtumia msg yakulaani mkuu wa taifa eti aliruhusu risasi kwa
Je kuna mtu nyuma yapazia alikuwa akicontrol kundi fulani la maaskari

Je ni watu wasiojulikana katika nia yao ovu bado kumchafuwa Magufuli na serikali ambalo ndio ilikuwa dhima ya yale maandamano?

Je kunakamchezo kanachezwa kuiteteresha serikali ya Magu...

Je hii ni conspiracy?

Kazi kwenu
b7867260ce3bb6f6ef36060f4e6cd6c1.jpg
 
Back
Top Bottom