Tetesi: Top secret: Sio Ikulu,Sio Tis wala kikosi maalumu kiliruhusu Risasi zitumike kwa waandamanaji je who authorize..

Tetesi: Top secret: Sio Ikulu,Sio Tis wala kikosi maalumu kiliruhusu Risasi zitumike kwa waandamanaji je who authorize..

Wana theory za ajabu kweli, hawajifunzi kutoka Kenya? mpwa unakumbuka yale maandamano ya watoto wa shule kule Kenya kuhusu ujenzi wa ukuta? kilichojitokeza ni kuwa polisi katika kuzuia wale watoto wasiandamane walitumia fimbo kuwachapa bakora. Lakini jioni ya siku hiyo Kamishna wa polisi (kama Mambosasa) na askari wote waliokuwapo walifukuzwa kazi wote.
Ule ndio uwajibikaji, hakuna mjadala. Na siku nyingine mwingine hafanyi ujinga huo kwani atalaza wanae na njaa naye atageuka kibaka maana utapataje kazi nyingine wakati wewe ni Bashite?


Hao Kenya Unaowasifia Tuseme Hujui Maaskari Wake Walichowafanya Waandamanaji Wa Kupinga Matokeo ya Uchaguzi uliompa ushindi Uhuru Kenyatta?
 
Hata kabla sijamaliza nlielewa unaelekea wapi mbona ipo ki ushabiki sana haya ingempata mmoja ya viongozi Wa chadema pia ungesema mbowe kahusika asee hii nchii hii mazuzu mengi haya na yule jamaa Wa UDSM walo Sema ni jambazi asiyekua na siraha nini kipo nyuma ya pazia
 
..sitashangaa kama ni mku.ndu bashite...anaweza kufanya hivyo....kama aliweza kuvamia TV akiwa Na hao hao Polisi hawezi kushindwa kuwaamuru kuua RAIA....alafu unayaona yanasali kinafiki.... Haki hawa mbwa wanatia simanzi basi tu...
 
Igweeeeeeeeeee taarifa zakunyapia nyapia zimeniangukia mzee wakunyapia nyapia hii ni zaid yakiza kinene kwa wale mnamtumia msg yakulaani mkuu wa taifa eti aliruhusu risasi kwa waadamnaji. Sio kweli yani big No.

Taarifa ambazo nakosa kuzithibitisha nikwamba kweli risasi zilipigwa na mpigaji nikweli alikuwa mtumishi wa jeshi la polisi. Ila giza ni zito nani alitoa amri. Ikumbukwe askari hawatumii risasi za moto pasipo kibali ama kuwepo hali yakuleta hatari kwa askari husika. Kila kikosi chakutuliza ghasia kuna mkuu wakile kikosi au wakundi fulani.

Habari zisizo rasmi nikuwa ile risasi ilipigwa na mmoja wa hao walinzi wa amani japo hakuna ushaidi why mpaka sasa alitumia silaha za moto. Maswali wana usalama na viongoz wajuu wanajiuliza ni:-

Je, askari alie piga risasi alipatwa na mfadhaiko au msongo wakimawazo baada yakuona kundi linamjia?

Au alikuwa na ajenda ambayo mimi nawewe hatujaijuwa mpaka sasa?

Je, kuna mtu nyuma yapazia alikuwa akicontrol kundi fulani la maaskari

Je, ni watu wasiojulikana katika nia yao ovu bado kumchafuwa Magufuli na serikali ambalo ndio ilikuwa dhima ya yale maandamano?

Je, kunakamchezo kanachezwa kuiteteresha serikali ya Magu?

Je, hii ni conspiracy?

Kazi kwenu


Walisharuhusiwa kufyatua risasi kwa hiyo hizo porojo hazina mashiko tena
 
Igweeeeeeeeeee taarifa zakunyapia nyapia zimeniangukia mzee wakunyapia nyapia hii ni zaid yakiza kinene kwa wale mnamtumia msg yakulaani mkuu wa taifa eti aliruhusu risasi kwa waadamnaji. Sio kweli yani big No.

Taarifa ambazo nakosa kuzithibitisha nikwamba kweli risasi zilipigwa na mpigaji nikweli alikuwa mtumishi wa jeshi la polisi. Ila giza ni zito nani alitoa amri. Ikumbukwe askari hawatumii risasi za moto pasipo kibali ama kuwepo hali yakuleta hatari kwa askari husika. Kila kikosi chakutuliza ghasia kuna mkuu wakile kikosi au wakundi fulani.

Habari zisizo rasmi nikuwa ile risasi ilipigwa na mmoja wa hao walinzi wa amani japo hakuna ushaidi why mpaka sasa alitumia silaha za moto. Maswali wana usalama na viongoz wajuu wanajiuliza ni:-

Je, askari alie piga risasi alipatwa na mfadhaiko au msongo wakimawazo baada yakuona kundi linamjia?

Au alikuwa na ajenda ambayo mimi nawewe hatujaijuwa mpaka sasa?

Je, kuna mtu nyuma yapazia alikuwa akicontrol kundi fulani la maaskari

Je, ni watu wasiojulikana katika nia yao ovu bado kumchafuwa Magufuli na serikali ambalo ndio ilikuwa dhima ya yale maandamano?

Je, kunakamchezo kanachezwa kuiteteresha serikali ya Magu?

Je, hii ni conspiracy?

Kazi kwenu
Na hawa wanaotekwa na kuuawa kila siku,toka lisu,azory,Roma,na hivi juzi katibu wa chadema hananasifu nani huwa anatoa ruhusa watendewe hivyo?
 
Na amini kabisa Mbowe hausiki juu ya kifo hicho kwa namna yoyote ile. Ila mwisho wa haya u kariibu
 
Igweeeeeeeeeee taarifa zakunyapia nyapia zimeniangukia mzee wakunyapia nyapia hii ni zaid yakiza kinene kwa wale mnamtumia msg yakulaani mkuu wa taifa eti aliruhusu risasi kwa waadamnaji. Sio kweli yani big No.

Taarifa ambazo nakosa kuzithibitisha nikwamba kweli risasi zilipigwa na mpigaji nikweli alikuwa mtumishi wa jeshi la polisi. Ila giza ni zito nani alitoa amri. Ikumbukwe askari hawatumii risasi za moto pasipo kibali ama kuwepo hali yakuleta hatari kwa askari husika. Kila kikosi chakutuliza ghasia kuna mkuu wakile kikosi au wakundi fulani.

Habari zisizo rasmi nikuwa ile risasi ilipigwa na mmoja wa hao walinzi wa amani japo hakuna ushaidi why mpaka sasa alitumia silaha za moto. Maswali wana usalama na viongoz wajuu wanajiuliza ni:-

Je, askari alie piga risasi alipatwa na mfadhaiko au msongo wakimawazo baada yakuona kundi linamjia?

Au alikuwa na ajenda ambayo mimi nawewe hatujaijuwa mpaka sasa?

Je, kuna mtu nyuma yapazia alikuwa akicontrol kundi fulani la maaskari

Je, ni watu wasiojulikana katika nia yao ovu bado kumchafuwa Magufuli na serikali ambalo ndio ilikuwa dhima ya yale maandamano?

Je, kunakamchezo kanachezwa kuiteteresha serikali ya Magu?

Je, hii ni conspiracy?

Kazi kwenu


Polisi CCM inajulikana yameanza zamani haya ,

JIKUMBUSHE HAPA

 
PAMOJA NA ALIYEANZISHA MAANDAMANO BILA KIBALI HIYO DAMU IKO JUU YAKE MILELE HACHOMOKI

Yaaani tungelikuwa na watu ka wewe wanne tu tz tungelikuwa werevu sana. Huenda pia kuna watu wanakutegemea mahali flan panapoitwa nyumbani. Pumbawavu sana. Yeye ndio kawapa hao walinzi wenu hizo za moto?? Kuna siku mtajikuta ICC
 
Back
Top Bottom