Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa heshima yake anatakiwa kuwekwa namba 1 kwa anacho deliver sio huyo muimba matusi.Naimani Alikiba umemuweka hapo kwa Heshima tu ila sio kwa anacho deliver
Whozu ametrend sana mwaka huu.Whozu [emoji848][emoji848]
Tuweke ushabiki pembeni. Nyimbo za kiba zinaishi kuliko za mondi.Naimani Alikiba umemuweka hapo kwa Heshima tu ila sio kwa anacho deliver
ana safari ndefu sana alikuwa anamchukulia jeshi ni mtu poa sana wacha apitie maisha nje ya wcb tumuone . Raha nzuri tutampima kwa kuwa hana vuguvugu la ugomvi alipotoka tofauti na mwenzake alivyoondoka asipopanda tutajua hamna kitu.Rayvanny bora angebaki Wasafi sioni kama anatoa nyimbo Kali sikuhizi.
Harmonize ametisha sana mwaka huu Ngoma kama "Single again" na "Sijalewa" ni Kali vibaya mno.
Nadhani "Single again" ingekuwa ya mnaigeria basiii ingeingia kwenye chati za Billboard na kuombwa kolabo juu.
Umpendaye ana bahati sana😂Kwa heshima yake anatakiwa kuwekwa namba 1 kwa anacho deliver sio huyo muimba matusi.
Hivi maadili ni nini tuanzie hapoTuweke ushabiki pembeni. Nyimbo za kiba zinaishi kuliko za mondi.
Zinaweza zisiwe hit songs lkn ni nzuri, zenye ujumbe murua. Zina maadili na zinasikilizika na rika lote.
Ukiwa mkubwa utaelewa🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Hivi maadili ni nini tuanzie hapo
Hayo ni maneno ya kimapenzi ya kawaida. Katumia tafsida yenye maadili kiasi, hata videos zake unaangalia bila kufunika macho kuliko yule mshkaji wenu mondiAlikiba huyu huyu aliyeimba seduce me.. na sijui Upwiru unakaba koo? Mabinti wenye vifundo ndio wananitoa roho?
Then mnasema anaimba kwa maadili?
Kweli Mitanzania minafki sana
Nishike huku🤣Alikiba huyu huyu aliyeimba seduce me.. na sijui Upwiru unakaba koo? Mabinti wenye vifundo ndio wananitoa roho?
Then mnasema anaimba kwa maadili?
Kweli Mitanzania minafki sana
sahihi kabisa, wanamkingia kifuaNaimani Alikiba umemuweka hapo kwa Heshima tu ila sio kwa anacho deliver
Mwanao anaimba "Natamani kuwa singo ila UPWIRU unakaba koo.. MABINTI wenye vifundo ndio wananitoa"Hayo ni maneno ya kimapenzi ya kawaida. Katumia tafsida yenye maadili kiasi, hata videos zake unaangalia bila kufunika macho kuliko yule mshkaji wenu mondi