Muyobhyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 8,149
- 6,547
tupo mil. 53 sasa hiviHao watz mil 45 wasio na vyoo mmewatoa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tupo mil. 53 sasa hiviHao watz mil 45 wasio na vyoo mmewatoa wapi?
Kwani vingine ni vya nini??Does pit latrine qualify to be improved toilet? Asilimia 98 ya watanzania wanatimua vyoo vya shimo.
Why do i even bother with these people watu wajinga kupindukia ukimpa facts anaanza kukupea facts zake toka kwa kichwaRussia is not half the size of africa, leta km2 zake leta ya africa, na unapaswa ujue image ya africa is distorted kwenye atlas, its huge, observe the distance btn 2 latitude around equator and dist btn 2 latitudes around north poles where russia is.
Anapinga tu bila factsBut Hoshea, Russia has a total area of around 17.5km2 and the continent of Africa total landmass is 30.2km2.
That makes Russia slightly more than half the total area of Africa.
Lack of proper sanitation kills millions of people yearlyMambo mengine ya hovyohovyo eti watu wanajivunia ujinga tu
Tuseme wewe unaokota tu figures na kuruka nazo??Mnapenda kusema ya wengine wakati ya kwenu yananuka hivyo hivyo. Kenya 70% hawana choo, na hapa tunaongelewa vyoo vya kisasa (flashing toilet). Huwezu kuwa na population kubwa na kuwe hakuna choo kabisa maana hakuna anayeweza kuzuwia magonjwa. Lakini wakenya mnafanya agenda wakati kwenu flashing toilet hakuna, maji Nairobi hakuna kabisaaaa. Sasa kinacho wachekesha ni nini. Muwe mnaweka source mkiweka taarifa kama hizi, kuliko vipicha isiyo julikana imetoka wapi.
Haya tujikumbushe na Kenya mambo yakoje.....
Company Brings Toilets To Kenya Slums, Turns Waste Into Fertilizer | HuffPost
Sasa unataka kukataa hiyo habari?? Hilo ni gazeti la online linaloheshimika sana na tena wanatumia secured web address "https" kama unawabishia waandikie uwaulize uhakika wa hiyo habari tena wameweka na link ya UN. Checkmate [emoji23]Tuseme wewe unaokota tu figures na kuruka nazo??
How many Kenyans live in Kibera? 55% of Kenyans live in villages where they have good pit latrines. Majority of the 45% that live in cities and towns have good toilets. I can say the percentage of Kenyans who lack good sanitation and access to toilets is about 20%.I am Kenyan but habari hii nikama kujifunga goli (own goal)...pia sisi tuna shida nyingi sana kwa sector hii ya sanitation Kibera sio jambo la kujivunia..ukweli usemwe tu...tutakapomaliza shida hizi ndipo tunafaa kuja kujivunia...kwa sasa nikama tu mbilikimo wawili wanapimana urefu na kuchekana..No pun intended..just being real
Jirani yenu Ethiopia hujamuona?
Kenyans and Ethiopians respect each otherJirani yenu Ethiopia hujamuona?
Kwanini hamtahiriwi? Unakuta Baba MTU mzima ana govi. Tohara ni nzuri kwa afyaKenyans and Ethiopians respect each other