Top ten midfielders in the world....

Top ten midfielders in the world....

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Kwa sasa ukiambiwa utaje top ten midfielders... unaweza weka Nani ukaacha Nani?..

1. Debruyne

2.Caisedo

3. Tchoumeni..

4. Jude Bellingham.
.5. Musiala..
6. casemiro
7.Ordegaard .
8. Rodri..
9.pedri
10. Bruno Guimares....


Weka yako tuone
 
List nyingine za kijinga sana unafatiliaga mpira au we ni wale watu wa magazeti na taarfa za usajili kwa sababu list yako imebeba majina ya watu ambao wanaongoza kutajwa tu kwenye media inaonyesha hufatilii mpira.

Siwez toa List yangu kwenye ushuzi wa namna hii.
 
Kwa sasa ukiambiwa utaje top ten midfielders... unaweza weka Nani ukaacha Nani?..

1. Debruyne

2.Caisedo

3. Tchoumeni..

4. Jude Bellingham.
.5. Musiala..
6. casemiro
7.Ordegaard .
8. Rodri..
9.pedri
10. Bruno Guimares....


Weka yako tuone
Daa, watu wanaojua mpira wanazidi kuisha kila kukicha. Miaka 18 iliyopita hakuna mtu angewawaza hawa watu. Ungeanzaje wakati Kuna hawa miamba.
Vieira, Roy Kean, Claude makele, Michael Ballack, Gerrard, scoles, beckam, Denis Beckamp, Rui Costa, Pirlo, Genaro Gatuso, Nedved, Zidane. Gaucho, Lampard, Kaka, Edgar Davis, Seedolf, Jay Jay Okocha, Luis Figo.
Unabaki unajiuliza hawa wachezaji walikuwa wanatoka wapi. Leo kila mtu mwenye miguu miwili anaweza cheza football eti
 
Daa, watu wanaojua mpira wanazidi kuisha kila kukicha. Miaka 18 iliyopita hakuna mtu angewawaza hawa watu. Ungeanzaje wakati Kuna hawa miamba.
Vieira, Roy Kean, Claude makele, Michael Ballack, Gerrard, scoles, beckam, Denis Beckamp, Rui Costa, Pirlo, Genaro Gatuso, Nedved, Zidane. Gaucho, Lampard, Kaka, Edgar Davis, Seedolf, Jay Jay Okocha, Luis Figo.
Unabaki unajiuliza hawa wachezaji walikuwa wanatoka wapi. Leo kila mtu mwenye miguu miwili anaweza cheza football eti
Kila nabii na zama zake..

Hata kabla ya hao dunia iliwahi kuwa na utajiri wa viungo wa shoka na mafundi kama Zico, Paul Gascoine Gazza, Lotta Matheuss, Socrates, Falcao, nk
 
Kwa sasa ukiambiwa utaje top ten midfielders... unaweza weka Nani ukaacha Nani?..

1. Debruyne

2.Caisedo

3. Tchoumeni..

4. Jude Bellingham.
.5. Musiala..
6. casemiro
7.Ordegaard .
8. Rodri..
9.pedri
10. Bruno Guimares....


Weka yako tuone
Joshua kimmich
Fabinho
Marcos lorente
 
Daa, watu wanaojua mpira wanazidi kuisha kila kukicha. Miaka 18 iliyopita hakuna mtu angewawaza hawa watu. Ungeanzaje wakati Kuna hawa miamba.
Vieira, Roy Kean, Claude makele, Michael Ballack, Gerrard, scoles, beckam, Denis Beckamp, Rui Costa, Pirlo, Genaro Gatuso, Nedved, Zidane. Gaucho, Lampard, Kaka, Edgar Davis, Seedolf, Jay Jay Okocha, Luis Figo.
Unabaki unajiuliza hawa wachezaji walikuwa wanatoka wapi. Leo kila mtu mwenye miguu miwili anaweza cheza football eti
Dunga, graudiola, rosiscky, ole guna sosha beckam
 
Back
Top Bottom