Top ten University Tanzania, ed research 2010, caufman

Top ten University Tanzania, ed research 2010, caufman

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
5,950
Reaction score
11,295
1.dar es salaam university ** udsm*******************
2.sokoine university ** sua *********
3.mzumbe university' ** mu*********
4.muhimbili university ** muhas******
5.ardhi university ** au *******
6.st augustnine universty ** su****
7.state university of zanzibar** suz***
8.
9.
10.university of dodoma ** udom **
***********************************
************************************
 
Suala lipo wazi,linki hhiiiiiiii hapa mr mzumbe 2+2
 
1.dar es salaam university ** udsm*******************
2.sokoine university ** sua *********
3.mzumbe university' ** mu*********
4.muhimbili university ** muhas******
5.ardhi university ** au *******
6.st augustnine universty ** su****
7.state university of zanzibar** suz***
8.
9.
10.university of dodoma ** udom **
***********************************
************************************

sure! UDSM itabaki juu tu.
 
udsm collages za heshima mbili tu coet na coict nyie wengine mnabebwa na hizi collage na zikijitenga basi udsm itakuwa kama ifm.

haiwezi kuwa kama IFM hata siku moja.
 
Nyie danganyanen 2.malizen mje kitaa ndo mtaisoma namba.
 
Inauma kuona vijana wa Kitanzania wanahangaika kubishania research halafu wenyewe hawathubutu kufanya hata karesearch kamoja ,jamani tupigeni buti nchi yetu bado changa na miaka 50!
 
du kwaiyo cha prvt ni saut tu?

saut hapo kimewekwa kimakosa KABISA,hapo kilistaili kukaa hubert kairuki au IMTU,pale saut aka chuo cha vilaza hakiwezi kupewa hiyo heshima ya kuwa hapo,Swala la vilaza hasibishe mtu yeyote cuz ni fact na kuhusu kubadilika kutoka kwenye ulaza kuwa compitent hiyo ni ishu nyingine.
 
Hata hiyo SAUT napata shaka kuwa hapo. Labda cha kwanza vile vya private lakini jinsi ilivyo hata kuiandika nahisi researchers waliamua kuridhisha umma. Hapo hakuna kitu na hata vingine vingi tu vya private ni ngonjera tu na tcu wapo wanawaangalia tu
 
Hakuna cha kitaa,kama ulikosa kazi inategemea ulisoma nina,kuna kozi ukitamka ulimini mi nachukua political science n raha mdogo wangu kasoma pspa hana lolo aheri angesomwa hata grade a,tatzo lenu vijana hamuangalii kua nchi yenu inahitaji ajira gani ni kua mnasoma kozi kama taito tu,
 
Back
Top Bottom