Kwahiyo mwanaume akiwa six pack unapagawa?Jiulize kwann kila day wasanii wanapishana Gim kutengeneza mionekano kwani kina professor Zamani walikua hawashangiliwii hahahaaa mvuto baba mvuto tena siku nyingine usiseme tena hii habari
Unataka ufafanuz upi?Kivipi?fafanua.
We unaonaje?Kwahiyo mwanaume akiwa six pack unapagawa?
Wewe unapendezwa na mvuto au uzuri?Hahahhha uzur na mvuto vitu viwil tofauti
mm nina vyote shost [emoji28][emoji28][emoji28]lol
Wanawake hamjui mnavutiwa na nn.Ila mvuto mkubwa kuliko yote ni pesa na ndo maana hakuna mdada hata mmoja aliyepinga diamind kuwa number one.Hilo lipo uchi ila ukibisha basi.Umebarikiwa mama hongera [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] naona uko kundi La kamikaze na kiba
We nae sijui unaongea nn atii?!! Ingelikua only money's matter Marioo mngeongezeka siku hadi siku? Fahamu kila mwanamke analo alitakalo kuna wanawake wako tayari kukupa kila kitu ewe mwanaume ili akumiliki umfurahishe kwa kazi matata na kuna wanawake wanaziona fursa za mifukoni mwa wanaume wachache walionazo so tunazitumia tuWanawake hamjui mnavutiwa na nn.Ila mvuto mkubwa kuliko yote ni pesa na ndo maana hakuna mdada hata mmoja aliyepinga diamind kuwa number one.Hilo lipo uchi ila ukibisha basi.
Mi mwanaume ndo maana nauliza dada ili tukapige gym.We unaonaje?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] wakati wewe unaanza utakuta wenzio washa shape hadi kiuno kwa misuriMi mwanaume ndo maana nauliza dada ili tukapige gym.
We unajitambuaOnly my man...ndo ananikosha...
MHao wotee hawamfikii Cyril kamikaze aisee Mungu anaumba jamaniView attachment 393703