TOPIC 2-Hamu ya Tendo la ndoa Mara kwa Mara kwa mkeo(Ni ishara tosha ya Uaminifu)

TOPIC 2-Hamu ya Tendo la ndoa Mara kwa Mara kwa mkeo(Ni ishara tosha ya Uaminifu)

duniani kuna vijimambo jamani looo!ol in ol wenye ndoa ze2 cdhani kama ni busara kufanya huo uchunguzi other wise 2takufa na presha za kujitakia.
 
duniani kuna vijimambo jamani looo!ol in ol wenye ndoa ze2 cdhani kama ni busara kufanya huo uchunguzi other wise 2takufa na presha za kujitakia.

utakoma kutoka nje uwanja utakuwa unacheza mechi za ndani
 
nadharia yako nadhani ni ngumu kutekelezeka kwenye dunia ya leo..dunia iliyojaa kila aina ya njia mbadala vitu kama "Ngoka 11" lazima vihusike sana kwa wanaume wanaocheza mechi za mchangani
 
Mwenzangu hawa viumbe achana nao,huwawezi kwa mbinu anaweza akafanya huko na wewe akakusulubu ukashangaa..
Mungu kawajaalia kuongea na kueleweka mara anaweza akaingia akaanza kusingizia kichwa na uso kaukunja kama anatumbuliwa jibu unarudi kinyume nyume mwenyewe.
 
Mwenzangu hawa viumbe achana nao,huwawezi kwa mbinu anaweza akafanya huko na wewe akakusulubu ukashangaa..
Mungu kawajaalia kuongea na kueleweka mara anaweza akaingia akaanza kusingizia kichwa na uso kaukunja kama anatumbuliwa jibu unarudi kinyume nyume mwenyewe.

Hahahahahahahahahahaha umenivunja mbavu zangu sasa anakupa mgongo!!!
 
Back
Top Bottom