TOPIC.................Maajabu ya Maneno Ya khanga.........

TOPIC.................Maajabu ya Maneno Ya khanga.........

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2011
Posts
4,873
Reaction score
1,217
hAYA maneno kwenye kanga hii Nani wa KULAUMIWA....

KHANGA_n.jpg
 
Angalia na hizi,ni khanga siyo mimi.

bibi mkuna nazi kidudu kiko wazi
nakupa kanga uvae kidubwasha kisizagae
utaogopaje msumari???nawe sio mwali
Uhuru ni wako papasa utakapo
si bati si msumari tanga hakuna mwali
Mademu wakichaga ndo warembo africa nzima
usijitie wazimu....vuz. Halina umuhimu.
 
Sasa alaumiwe kwa lipi? Wewe umenunua kanga ya ujumbe huo si unataka ufikie adhira yako? Mtengenezaji katengeneza ili mwenye interest anunue!
 
Angalia na hizi,ni khanga siyo mimi.

bibi mkuna nazi kidudu kiko wazi
nakupa kanga uvae kidubwasha kisizagae
utaogopaje msumari???nawe sio mwali
Uhuru ni wako papasa utakapo
si bati si msumari tanga hakuna mwali
Mademu wakichaga ndo warembo africa nzima
usijitie wazimu....vuz. Halina umuhimu.
Mzee una kaajira Urafiki nini ?
 
hAYA maneno kwenye kanga hii Nani wa KULAUMIWA....

View attachment 56338

Angalia na hizi,ni khanga siyo mimi.

bibi mkuna nazi kidudu kiko wazi
nakupa kanga uvae kidubwasha kisizagae
utaogopaje msumari???nawe sio mwali
Uhuru ni wako papasa utakapo
si bati si msumari tanga hakuna mwali
Mademu wakichaga ndo warembo africa nzima
usijitie wazimu....vuz. Halina umuhimu.

tobaaaa! :shocked:
 
Napita tu. Naiona ban kwa mbaaali inakuja.
 
Muraaaa baadae tukutane kwa mama muuza tukachukue return. Nakatisha tu
 
Angalia na hizi,ni khanga siyo mimi.

bibi mkuna nazi kidudu kiko wazi
nakupa kanga uvae kidubwasha kisizagae
utaogopaje msumari???nawe sio mwali
Uhuru ni wako papasa utakapo
si bati si msumari tanga hakuna mwali
Mademu wakichaga ndo warembo africa nzima
usijitie wazimu....vuz. Halina umuhimu.
Level unafanya kazi Urafiki/ Mwatex ama Mutex??????????????????
 
Last edited by a moderator:
Hiyo kanga anavaa nan sasa? Make ni ujumbe wa mwanaume kwenda kwa mwanamke.
 
Back
Top Bottom