Somoe
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 754
- 282
Nilikuwa sijaiona topic yako ya 6 dec. hehe. Ndio kwanza naiona leo, nimeipenda.Nazani, wanaume weusi sana wa kiafrika na wanaume weupe sana wa kizungu, tabia zao zinafanana sana tu. Sababu wapo wengi sana barani kwako kwaiyo sio hadim kuwapata. Na wanawake upenda kitu hadim, afrika mwanamme mwenye rangi kidogo tu upendwa na wanawake wengi, sababu ni hadim kuonekana.
Ukija kwa wazungu, wanaume weupe sana wapo kibao na ni raisi tu kuwapata. Na wale wazungu weusi kidogo sio wengi sana, hadimu kuwapata. Kwaiyo mwanamme mweusi mweusi kidogo wa kizungu umpendwa na wanawake wengi. Ndio sababu wanaume wenye rangi hadim barani kwao ujiskia sana.
Lakini mwisho wanao win katika ndoa ni wale wasio kuwa maarufu. Na hata kwa wanawake ni hivo hivo. au nakosea?
Ukija kwa wazungu, wanaume weupe sana wapo kibao na ni raisi tu kuwapata. Na wale wazungu weusi kidogo sio wengi sana, hadimu kuwapata. Kwaiyo mwanamme mweusi mweusi kidogo wa kizungu umpendwa na wanawake wengi. Ndio sababu wanaume wenye rangi hadim barani kwao ujiskia sana.
Lakini mwisho wanao win katika ndoa ni wale wasio kuwa maarufu. Na hata kwa wanawake ni hivo hivo. au nakosea?