Topic za kugeneralize na kudhalilisha wanawake

mmmhhh watasigizi pombe..
shetani au nyie wanawake ndo mnatufanyaga mpaka tumekuwa hivi ..
mmmhh jibu huta kosa dear

klorokwin kashasingizia shetani.
Wanaume wote ni wacheza mpira maana wakifungwa utasikia ooh uwanja ulikuwa na nyasi mara mpira ulikuwa unateleza, kocha kapendelea. Ila wakifunga utasikia " tulifanya mazoezi ya kutosha"
 
klorokwin kashasingizia shetani.
Wanaume wote ni wacheza mpira maana wakifungwa utasikia ooh uwanja ulikuwa na nyasi mara mpira ulikuwa unateleza, kocha kapendelea. Ila wakifunga utasikia " tulifanya mazoezi ya kutosha"

hahahhaah lol
kwweli umenichekesha..
yaani hapo umesema kwa kweli..
mmmmhh yaani hata useme nini dear majiibu hawayakosi..
mie ndo maana hata siulizagi .. balaa sitaki..
 
wewe hawajakuzalilisha?, wakikuzalilisha usiache kuripoti kwangu, mimi ni natural born female protector.

pliz usiache dozi ya klorokwini, mwenzio ntakosa soko ujue.

hahahhaha lol sasa hii klorokwin inaniua jamani..
mmhh mie siitaki tena..
naomba uchague kati ya wewe kupata fweza au AD kupotea kijumla..
 
Wanadamu tunapenda kunyosheana vidole, kwa uzoefu niliouona hapa JF tatizo la ku-generalise lipo pande zote, wanawake na wanaume, matusi dhidi ya jinsia nyingine imekuwa kawaida. Mifano ni mingi na nadhani mnaifahamu.
 
yaani its too much
halafu wanawake wengi wamezoea hapa.
inasikitisha.....
jamii inapotea....
 
Wanadamu tunapenda kunyosheana vidole, kwa uzoefu niliouona hapa JF tatizo la ku-generalise lipo pande zote, wanawake na wanaume, matusi dhidi ya jinsia nyingine imekuwa kawaida. Mifano ni mingi na nadhani mnaifahamu.
U might be true but extent ya jinc watu wanavyotalk about wanawake ni tofauti,.
 

na wewe umekidhalilisha kiswahili sana, hivi hujui kuandika kiswahili tu au kiingereza tu hadi uchanganye? nikiwa kama mwanaharakati wa kiswahili nimesikitishwa na tabia yako ya kuchakachua istilahi za kiswahili, ili tuweze kuelewana nakutaka uombe radhi pia uandike upya kwa kiswahili au kiingereza hii mada yako.
 
Kaka,kuna mtu aliniambia na kwa ustaarabu nilimjibu vizuri tu!co kua sijapenda kuandika kwanzia mwanzo na kiswahili.
 
We nawe umeambiwa tupo darasani hapa?Sio lazima ufurahie uandishi au maandishi ya kila mtu!
 
umesema ukwel Tracy mwanamke amekuwa mtu wa kukandamizwa na kudhalilishwa ziku zote lakini bado natupia baadhi ya lawama upande wetu kwa kuendelea kukubali na kuhalalisha yale yanayotokea juu yetu
 
Pole dada Tracey, najua imekuuma sana. Pole dear, wanaume ndivyo tulivyo. Upole wako na nguvu ya hoja ndivyo vitatubadilisha na si vinginevyo.
 

mimi nimewatetea sana lakini hakuna alieniunga mkono, afadhali umenena.sio siri inakera kwelikweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…