mmmhhh watasigizi pombe..
shetani au nyie wanawake ndo mnatufanyaga mpaka tumekuwa hivi ..
mmmhh jibu huta kosa dear
klorokwin kashasingizia shetani.
Wanaume wote ni wacheza mpira maana wakifungwa utasikia ooh uwanja ulikuwa na nyasi mara mpira ulikuwa unateleza, kocha kapendelea. Ila wakifunga utasikia " tulifanya mazoezi ya kutosha"
wewe hawajakuzalilisha?, wakikuzalilisha usiache kuripoti kwangu, mimi ni natural born female protector.
pliz usiache dozi ya klorokwini, mwenzio ntakosa soko ujue.
U might be true but extent ya jinc watu wanavyotalk about wanawake ni tofauti,.Wanadamu tunapenda kunyosheana vidole, kwa uzoefu niliouona hapa JF tatizo la ku-generalise lipo pande zote, wanawake na wanaume, matusi dhidi ya jinsia nyingine imekuwa kawaida. Mifano ni mingi na nadhani mnaifahamu.
From the deepest part of my heart,nachukua this opportunity to just let out kitu ambacho most ladies see hapa JF.
Kuna topic ambazo honestly zinadisrespect wanawake,sometimes unjiuliza hivi mtu ana dada,mama,shangazi or any female relative..Najua kila mtu ana perspective yake ya kufikiri but please jamani tusiende mbali with huu uhuru,am not any one to do this but jamani wakaka msigeneralize vitu na kutoa conclusions zenu,you people just dont know how it hurts hata kama hujafanya hicho kitu.pleeeeeeeeeeeeeeeeeeeez!mara wanawake wana roho mbaya,mara malaya,mara hawjui hiki!its just not fair!kama unataka kutuelimisha,do it vizuri tu!.i wish you a lovely weekend.
Kaka,kuna mtu aliniambia na kwa ustaarabu nilimjibu vizuri tu!co kua sijapenda kuandika kwanzia mwanzo na kiswahili.na wewe umekidhalilisha kiswahili sana, hivi hujui kuandika kiswahili tu au kiingereza tu hadi uchanganye? nikiwa kama mwanaharakati wa kiswahili nimesikitishwa na tabia yako ya kuchakachua istilahi za kiswahili, ili tuweze kuelewana nakutaka uombe radhi pia uandike upya kwa kiswahili au kiingereza hii mada yako.
We nawe umeambiwa tupo darasani hapa?Sio lazima ufurahie uandishi au maandishi ya kila mtu!na wewe umekidhalilisha kiswahili sana, hivi hujui kuandika kiswahili tu au kiingereza tu hadi uchanganye? nikiwa kama mwanaharakati wa kiswahili nimesikitishwa na tabia yako ya kuchakachua istilahi za kiswahili, ili tuweze kuelewana nakutaka uombe radhi pia uandike upya kwa kiswahili au kiingereza hii mada yako.
Penye wengi kuna mengi ndugu tumezoea hizo dawa ni ku ignore
Ubarikiwe kaka..
From the deepest part of my heart,nachukua this opportunity to just let out kitu ambacho most ladies see hapa JF.
Kuna topic ambazo honestly zinadisrespect wanawake,sometimes unjiuliza hivi mtu ana dada,mama,shangazi or any female relative..Najua kila mtu ana perspective yake ya kufikiri but please jamani tusiende mbali with huu uhuru,am not any one to do this but jamani wakaka msigeneralize vitu na kutoa conclusions zenu,you people just dont know how it hurts hata kama hujafanya hicho kitu.pleeeeeeeeeeeeeeeeeeeez!mara wanawake wana roho mbaya,mara malaya,mara hawjui hiki!its just not fair!kama unataka kutuelimisha,do it vizuri tu!.i wish you a lovely weekend.