TOT ni mali ya CCM haipashwi kutumika kwenye hafla za kitaifa. Huku ni kutumia vibaya rasmali za Watanzania

TOT ni mali ya CCM haipashwi kutumika kwenye hafla za kitaifa. Huku ni kutumia vibaya rasmali za Watanzania

Nipo nyumbani kwenye luninga nafuatilia sherehe za kuzima mwenge huko Chato. Jambo la ajabu ni kuona bendi ya TOT ambayo ni mali ya CCM ikitumika ili hali ni sherehe ya kitaifa.

Kutumia kodi zetu kuwalipa Tot ili hali ni mali ya CCM ni kukosa busara za kisiasa. Abadani haya mambo yanatakiwa kuachwa kabisa.
Mambo yenu ya CCM malizeni huko huko
 
Nipo nyumbani kwenye luninga nafuatilia sherehe za kuzima mwenge huko Chato. Jambo la ajabu ni kuona bendi ya TOT ambayo ni mali ya CCM ikitumika ili hali ni sherehe ya kitaifa.

Kutumia kodi zetu kuwalipa Tot ili hali ni mali ya CCM ni kukosa busara za kisiasa. Abadani haya mambo yanatakiwa kuachwa kabisa.
Wakiutangaza mkoa unistue nijue kama ng'ombe zitabaki mkoa wa Kagera au Zitahamia Chato

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Serikali haina bendi inayopiga vyema kama T.O.T.....

Mbona huhoji kuwaalika akina Ally Kina na Diamond katika dhifa za taifa?!!!!!
 
Nipo nyumbani kwenye luninga nafuatilia sherehe za kuzima mwenge huko Chato. Jambo la ajabu ni kuona bendi ya TOT ambayo ni mali ya CCM ikitumika ili hali ni sherehe ya kitaifa.

Kutumia kodi zetu kuwalipa Tot ili hali ni mali ya CCM ni kukosa busara za kisiasa. Abadani haya mambo yanatakiwa kuachwa kabisa.
Hilo unalolisema lingehusu serikali ya wananchi wa Tanzania, hii ni serikali ya CCM ndiyo sababu hatutumii bajeti ya bunge tunatumia pesa za Rais Samia, subiri tutakapoanza kutumia katiba uchumi ukitengemaa.
 
Serikali haina bendi inayopiga vyema kama T.O.T.....

Mbona huhoji kuwaalika akina Ally Kina na Diamond katika dhifa za taifa?!!!!!
Zipo band za jeshi, ziko vizuri tu, kinachosumbuwa hapo ni mfumo, ccm ni mzimu iko everywhere.

Timu ya Yanga yenyewe ni ya ccm ila si rahisi mtu kukubali kama haijui nchi hii vizuri.
 
Nipo nyumbani kwenye luninga nafuatilia sherehe za kuzima mwenge huko Chato. Jambo la ajabu ni kuona bendi ya TOT ambayo ni mali ya CCM ikitumika ili hali ni sherehe ya kitaifa.

Kutumia kodi zetu kuwalipa Tot ili hali ni mali ya CCM ni kukosa busara za kisiasa. Abadani haya mambo yanatakiwa kuachwa kabisa.
Kamanda, huo mwenge ni kama hirizi ya CCM, kwa hiyo ili kuadhimisha tambiko lao ni lazima nao wawepo ili kusherehesha kafara zao.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Wakiimba kwenye misiba mbali mbali ya kitaifa umeshawahi kuuliza?hivi huu nao Uzi?
 
Zipo band za jeshi, ziko vizuri tu, kinachosumbuwa hapo ni mfumo, ccm ni mzimu iko everywhere.

Timu ya Yanga yenyewe ni ya ccm ila si rahisi mtu kukubali kama haijui nchi hii vizuri.
Kwa hiyo kila dhifa ya taifa zichukuliwe bendi za Jeshi?!!!

Ulazima huo unatokea wapi?!!
 
Nipo nyumbani kwenye luninga nafuatilia sherehe za kuzima mwenge huko Chato. Jambo la ajabu ni kuona bendi ya TOT ambayo ni mali ya CCM ikitumika ili hali ni sherehe ya kitaifa.

Kutumia kodi zetu kuwalipa Tot ili hali ni mali ya CCM ni kukosa busara za kisiasa. Abadani haya mambo yanatakiwa kuachwa kabisa.

Kwani kuna mali za serikali hapa? Mali zote si za rais mwanamke ajuaye?

Kwani hata pesa za miradi ya barabara, mashule, hospitali nk si huwa anatoa kwenye pochi yake binafsi?
 
Hayo yanahitaji utashi unaosimamiwa na Katiba. Tofauti na hapo tegemea makubwa zaidi!
I think you are righ on the one hand, yes, mfumo wa katiba na sheria unaruhusu mambo hayo kwa sababu ni mfumo wa katiba na sheria wa chama kimoja. Hawavunji sheria.

Lakini, hata kama sheria inaruhusu, CCM wangekuwa ni a responsible, peace and security minded party as they claim to be, they would never allow such things.

Haya mambo ya upendeleo wa kisiasa wa wazi wazi yanaligawa taifa. Unawezaje kuhubiri utangamano wa kitaifa, amani na utulivu wakati wewe chama tawala ndio kinara wa kujenga uhasama wa watu kwenye tasnia ya siasa, kinara wa kujaza chuki miongoni wa watu, kuwafanya wananchi waichukie serikali, na kufanya uchochezi kwa kupanda mbegu ya migawanyiko katika jamii ????
 
Pale mwanaccm AnapoJAribu kutuhadaa humu kwamba anapingana na chama chake kuwatumia tot ni kichekesho Sana kama ambavyo anatumia logo ya chadema kujidai ni mwana chadema kumbe ni mfuasi WA chama cha majambazi ya Taifa hili na ukute NI miongoni mwa waimbaji WA TOT.
 
I think you are righ on the one hand, yes, mfumo wa katiba na sheria unaruhusu mambo hayo kwa sababu ni mfumo wa katiba na sheria wa chama kimoja. Hawavunji sheria.

Lakini, hata kama sheria inaruhusu, CCM wangekuwa ni a responsible, peace and security minded party as they claim to be, they would never allow such things.

Haya mambo ya upendeleo wa kisiasa wa wazi wazi yanaligawa taifa. Unawezaje kuhubiri utangamano wa kitaifa, amani na utulivu wakati wewe chama tawala ndio kinara wa kujenga uhasama wa watu kwenye tasnia ya siasa, kinara wa kujaza chuki miongoni wa watu, kuwafanya wananchi waichukie serikali, na kufanya uchochezi kwa kupmda roho wa migawanyiko katika jamii ????
Mkuu kwa sasa ujue ccm si chama cha siasa. Sijuhi kama kiliwahi kuwa!
Ni kabila ama kikundi cha watu wenye mawazo ya kutumia dola kusaka fursa, madaraka na unafuu kwa gharama yoyote ile.
Tuwaelewe hivyo! Labda ilatusaidia kuwaweka pembeni!
 
Back
Top Bottom