Chujio
JF-Expert Member
- Jun 17, 2013
- 1,368
- 2,108
Habari wadau, haya ni malalamiko yangu juu ya vituo vya kujazia mafuta vya kampuni husika.
Hivi karibuni walianzisha mfumo wa kadi ambayo unaweka deposit ya pesa kadhaa na kukuwezesha kuitumia unapolazimika kuweka mafuta lakini cha kushangaza sasa, vituo vyenyewe vimekuwa bila mafuta na kulazimisha mteja kutumia pesa ya ziada kuweka mafuta kutuo kingine na kutuingizia hasara
Hii ni siku ya pili sasa vituo havina mafuta kabisa, ukienda unaambiwa upite tu vile hawana kitu. Uaminifu na accountability ni sifuri kabisa, I am very disappointed.
Kama shida ipo itatuliwe haraka, la sivyo hapakuwa na haja ya kuruhusu watu tujicommit kuwa na kadi ilihali vituo havina mafuta na watu kuingia hasara. Au refund kwa wateja wao
Kutoka kwa mteja mkereketwa
Hivi karibuni walianzisha mfumo wa kadi ambayo unaweka deposit ya pesa kadhaa na kukuwezesha kuitumia unapolazimika kuweka mafuta lakini cha kushangaza sasa, vituo vyenyewe vimekuwa bila mafuta na kulazimisha mteja kutumia pesa ya ziada kuweka mafuta kutuo kingine na kutuingizia hasara
Hii ni siku ya pili sasa vituo havina mafuta kabisa, ukienda unaambiwa upite tu vile hawana kitu. Uaminifu na accountability ni sifuri kabisa, I am very disappointed.
Kama shida ipo itatuliwe haraka, la sivyo hapakuwa na haja ya kuruhusu watu tujicommit kuwa na kadi ilihali vituo havina mafuta na watu kuingia hasara. Au refund kwa wateja wao
Kutoka kwa mteja mkereketwa